mmmh ndugu usiombe ujue utam wake utaacha iyo kitu ni tamu sana unapiga iyo kitu lisaa limoja unalamba mdogo wake nusu saa unamuambia toa hewa kdg yaani yusufuuuuu we uwachi mpaka unakufa
yaani km chama kinachojitapa kuchukua nchi kinashindwa kutoa majibu ata ya pango bc ni msiba mkubwa inawezekana ata awajui iyo nyumba ni ya nani ok xx tujiulize kweli chadema inakosa kweli kutengeneza jengo lao kweli jamani chama kikuu cha upinzani kinachotaka kuongoza wtz ml 45 kweli kimepanga...
siasa sio uadui wengi wa watz bado wanadhana iyo pole sana wapenda democrasia pole mh zito lkn ww ni zito na utabaki ivyo wote tunakuitaji sababu tumeona mabadiliko na ww ukiwa mmoja wao
yaani awa wafuasi wachadema awatakusikia lolote kuhusu chama chao ata km nikweli wanajua km aliteswa kwenye chumba cha mateso lkn awataki kuamini yaani ni umbumbu
napata shaka kidogo watu km dr slaa wanojipambanua mbele za watu p1 na chadema yote wapendaa amani na wanademokrasia ndio hii kutesa na kuchukua sheria mkononi xx kati yenu nyinyi chadema na hao mnawatuhumu ni nani mkosaji km kweli mlikua na ushahidi wa kutosha kagenzi kataka kuua kwanini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.