Kulikuwa hakuna haja ya kusema neno bangi... ila umeongea kiustadi sana.
Kila mtu ana hitaji lake kwa kipimo chake, mimi naona inafaa, kama kwako haifai basi sawa mkuu!
Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app
Leo nimeamka katika pita pita zangu za kusoma na kupata vitu vipya katika maswala ya akili mmnemba nikagundua kwamba kupitia ChatGPT sasa unaweza kuongea nayo na ikakujibu kila aina ya swala utakalo uliza na kwa sasa ni bure kabisaaa... ambayo zamani ulitakiwa kulipia ambapo baadhi yetu ilikuwa...
Hii topic ilikuja kuwa twisted kwamba ni uongo ama propaganda... baada ya picha kuja hapa naona pamekuwa kimya. Tungejadili na kupata suruhisho mfano ni kweli hayo maplastic hayana madhara kwa afya ya binaadam!??
Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app
Nimechunguza na kutambua kuwa watu wengi linapokuja swala la mechi ya watani wa jadi basi wengi wataanza kuitaja simba kisha Yanga.
Yani leo ni mechi ya Simba na Yanga. Yani lazima Simba aanze kisha Yanga atafuata.
Hili lipoje huko kwenu na ni nini sababu ya hili kutokea.
Sent from my...
Nina kiwanja Dodoma kina hati natafuta mtu mwenye kiwanja Dar anaetaka tubadilishane. Kiwanja kipo Nzuguni karibu na stand ya nane nane kina hati.
Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app
Sawa wewe kiazi kabla sijasahau[emoji1787]
Anyway umetoa mwongozo mzuri ila tatizo hapa sio kwa mnunuaji mana maziringira ya ukataji nyama ya namna hii yakiwa yamekuzunguka unajikuta hauna budi.
Kumbuka, unapo ongelea Dar sio pote watakuwa wana uwezo au uelewa uliotoa hapa. Pia kama mwongozo...
Naomba niwaelekeze mkapige nyie picha kwenye ofisi za watu kama mtaona ni vyema.
1. Dodoma, meliwa ukiwa unaingia kutoka main road bucha za upande wa kushoto.
2. Dodoma, stand ya Sabasaba ingilia mlango wa kutokea magari mabucha yapo upande wa kulia.
Haya kazi kwenu wapiga picha
Sent from my...
Naomba niwaelekeze mkapige nyie picha kwenye ofisi za watu kama mtaona ni vyema.
1. Dodoma, meliwa ukiwa unaingia kutoka main road bucha za upande wa kushoto.
2. Dodoma, stand ya Sabasaba ingilia mlango wa kutokea magari mabucha yapo upande wa kulia.
Haya kazi kwenu wapiga picha
Sent from my...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.