Wewe dada ni kweli unakiri au kidogo unamapungufu? hivi leo hii hujui kuwa Bananga ni diwani? au ndio unaandika ilimladi uonekane upo? cccm wamekupoteza wewe kisiasa na ndugu yako mwampamba yote hayo inahitaji kusomea ili kujua ccm ndio inapoteza vijana kisiasa? jiangalie vizuri ndugu yangu...
kiongozi unapotosha kuwa komba amechaguliwa kila mala kwani ndio kwanza hiki ndicho kipindi chake cha kwanza katika ubunge wake. Mtetee kivingine na kama hayo yaliyo andikwa mwakani akae kando,
Kiongozi tunashukuru kwa taarifa mimi nipo huku Matema beach leo hii nimepita shule ya msingi Kisyosyo hali ya madarasa inatia simanzi yani huwezi kuamini kuwa jimbo la Kyela linaongozwa na mbunge anaye julikana kama shujaaa wa nchi. Siku nyingine nitapiga picha ili niwatumie wanakyela wote...
Kitendo cha kutaka kuchakachua maoini ya katiba mpya kutoka kwa wananchi ni ishara tosha kuwa wanang'ang'ania madraka. Lakini naomba unipe jibu ni kwanini maccm wengi mnasema wapinzani ni waroho wa madaraka ili hali mnajua kuwa wapinzani wanahaki kishria kwaongoza watanzania?
Salaam ndugu Nape,
Kusema kweli mimi nimekuwa nikitatizwa sana na kauli/lugha ambayo wewe ndugu Nape umekuwa ukitumia dhidi ya wapinzani hasa CHADEMA.
Kila unapo hutubia wananchi umekuwa ukiwaambia wanachi wasiwasikilize wapinzani kwakuwa wapinzani ni waroho wa madaraka.
Kumbukumbu yangu...
Nape wewe nimoja wa vijana niliokuwa nawategemea katika nchi hii na niseme kweli ni mmoja wa watu walio nishawishi kufuatilia siasa lakini kwa sasa napatwa na mashaka na uwezo wako wakufikilia siamini kama inatokana na matokeo yako ya fm4 kwani kufeli na kufaulu elimu ya sekondari hakumuondolei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.