Wakuu notarudi kumalizia simulizi hii very soon.
Nilikuwa na majukumu mengine kwa miaka miwili hii sikuwa na hata muda wa kukaa kukumbuka yaliyotokea miaka hiyo.
Inabidi nimalizie tu maana inaweza kuwa msaada pia kwa wale ambao hawajawahi kusoma waione na kupata muendelezo kamili
TEMPLATE YA MATOKEO KWA SHULE ZA MSINGI! Kwa walimu wa shule za MSINGI wanaohitaji kiolezo(template) ya kuchakata matokeo ya wanafunzi baada ya mitihani au majaribio,au wanaohitaji kiolezo (template) ya kujaza milimbuko ya alama(continuous assessments) kwa kutumia simu au vishkwambi.Basi...
Mkuu ni wapi nimeandika sheet A??
Nimekwambia NAJUA.
Sheet ni kama ukurasa kwenye workbook.
Nimeandika kuwa sheet 1....sheet 2...na kuendelea.....
Sasa hapo kipi sikijui??
Wakuu kwema?
Naomba msaada wa excell.
Naandaa template ya matokeo kwa shule za MSINGI.
Sheet 1 nimeweka kwaajili ya kujaza alama.
Sheet 2 nimeweka sehemu ya matokeo,yaan madaraja ya kila somo,jumla na kadhalika.
Sheet 3 Nimeweka kwaajili ya rank,yaan aanze mwenye alama kubwa kwenda ndogo...
KANYAGA TWENDE 03
Ndugu Goroko alianza kusimulia mambo mengi aliyoyajua kuhusu kundi la kanyaga twende,ambapo sasa ili kupunguza wingi wa maneno naomba sasa kanyaga twende niite kwa kifupi KT,kwahiyo Goroko anaeleza kuwa KT ni wahalifu ambao chanzo chao hasa hakijui ila anachojua kuwa jina lao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.