Kapige kitabu weee hayo hata sisi yslitukuta yakatuumiza lakini tukawa psychological stable. Jishughulishe zaid na kujenga future ya maisha ambayo ni elimu hayo mengine yatajiseti. Fanya kama umesahau vile dogo.
Hivi hizo pesa za wanachuo zipo kwenye bajeti yavserikali ya awamu ipi? ya Magufuli au Jakaya? Mnapolaumu pimeni kwanza vitu kwa makini kabla ya kuropoka
1.Kifurushi cha internet Mb 200 cha tsh 500 sasa ni Mb 180 je mabadiliko haya yana gusa kifurushi cha bila kikomo siku cha 1000?
2. Kiuhalisia kuna kiwango cha mbs katika bila kikomo ya siku ya 1000 ila hamsemi. Je ni mb ngapi zimo humo kama ilikuwa ni gb1 kwa mabadiliko ya kifurushi cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.