Kuna kitu nimegundua uko vizuri sana kwenye ushawishi,Unatuaminisha vitu ambavyo ni hisia zako kwa tabia ya mtu.
Kwangu mimi salaamu sio lazima lakini ni muhimu kusalimia ukinisalimia nitakuona una tabia nzuri usiposalimia tabia yako mbaya.
GENTAMYCINE kama kweli unampenda utamwambia lakini sio kwa kulaumu ila kwa kutoa suluu mfano kwenda kuwaona wataalamu wa afya.
Na unavyozidi kuchelewa hata yeye atakuona una tatizo why huoni harufu ya papuch yake?
Hahahaaaa mkuu unataka utoe msaada wa kufukuzia?
tabu yote ya nini hiyo mwambie akiona anamkimbia apige kelele za mwizi tu wa Tz tuko na ushirikiano mno
Kwangu nionavyo bora mtoto wa kike aongee kwa vitendo zaidi kama anazimika na mimi,kuliko kunilopokea wazi wazi aiseee mamaangu nitakuwa na maswali mengi siku ukiniudhi afu majibu empty
75%Ndio walichofuata,wasi wasi wangu ni kama wao wamekuwa majasiri wa kuwasemea wanawake wenzao nchini,ndio maana hawakutaka kabsaa mwanaume kutoka Tz Mpaka kenya?
Au kwa vile kule wanaume wengi wanapigwa na wake zao!? nawaza tu
Hahahaaa nadhani wanajua jamii yote tuko hivyo labda wavuke mipaka.
Hapa kwa mtizamo wangu waliozalilika zaidi ni kina Mama wa Tz tena walio kwenye ndoa.
Pole.. kwani unadhani yeye msafi? Labda kwa sasa lakini hapo mwanzo?
Acha maisha yaende Unafiki ni sehemu yake,wala usijaribu sisi wanaume huwa hatuoi changudoa hata kwa kusikia tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.