Hongereni sana wanachadema kwa kujipendekeza kwa wazungu , kuichafua nchi kimataifa na kuponda kila aina ya maendeleo yanayofanyika nchini.
Shetani yuko upande wenu .
Vibaraka wa mboe nyie ndiyo anawatuma mlete taarifa kwamba tunaridhika na uongozi wake?
Kwa taarifa yako haturidhiki na hatupo tayari kuendelea kuongozwa na aliyepata ziro form six.
Tunataka uchaguzi wa huru na haki na washindani wa mboe wasiuawe tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.