Recent content by Maswa 1

  1. M

    Nawatakia heri ya pasaka Wanachadema na wana UKAWA tu popote walipo, Mungu awabariki sana

    Akili yako imefunikwa na ukungu wa ufipa huwezi kuona chochote cha maana zaidi ya miguu ya mboe
  2. M

    Rais Magufuli anatarajiwa kuipokea ndege ya ATCL iliyokuwa inashikiliwa Canada uwanja wa ndege(JNIA)

    Mtueleze kwanza kwa nini chadema inakimbiwa na viongozi wake ,pia msemo bayana kwa nn mmeshindwa kujenga ofisi ya chama mpaka leo.
  3. M

    Nawatakia heri ya pasaka Wanachadema na wana UKAWA tu popote walipo, Mungu awabariki sana

    Hongereni sana wanachadema kwa kujipendekeza kwa wazungu , kuichafua nchi kimataifa na kuponda kila aina ya maendeleo yanayofanyika nchini. Shetani yuko upande wenu .
  4. M

    Diamond atangaza ujio wa Wasafi FM na Wasafi TV

    Bavicha wataponda vibaya sana Kila wakiona taarifa ya maendeleo lazima waponde
  5. M

    Rais Magufuli anatarajiwa kuipokea ndege ya ATCL iliyokuwa inashikiliwa Canada uwanja wa ndege(JNIA)

    Kiki ya Chadema imebuma , Asante rais Magufuli kasi yako itafagia nyumbu wengi mpaka 2020
  6. M

    Askofu Pengo asisitiza tuishi kwa amani, Membe ahudhuria ibada hiyo!

    Alafu dereva aliyeshuhudia tukio anafichwa na mbowe
  7. M

    Watanzania wenzangu hivi ni kipi tunakiweza na kujivunia hapa ulimwenguni?

    Tunachokiweza ni kujipendekeza kwa wazungu na kuichafua nchi yetu wenyewe kama chadema wanavyofanya.
  8. M

    Askofu Pengo asisitiza tuishi kwa amani, Membe ahudhuria ibada hiyo!

    Kwa hiyo mnahubiri democrasia huku mkiuwa watu wanaotaka kugombea uenyekiti alafu msisemwe??
  9. M

    Askofu Pengo asisitiza tuishi kwa amani, Membe ahudhuria ibada hiyo!

    Vibaraka wa mboe nyie ndiyo anawatuma mlete taarifa kwamba tunaridhika na uongozi wake? Kwa taarifa yako haturidhiki na hatupo tayari kuendelea kuongozwa na aliyepata ziro form six. Tunataka uchaguzi wa huru na haki na washindani wa mboe wasiuawe tena
  10. M

    Askofu Pengo asisitiza tuishi kwa amani, Membe ahudhuria ibada hiyo!

    Huo uchaguzi wa huru na haki uanzie ndani ya chadema kwanza. Kwa nini mtu akitaka kugombea uenyekiti mna mchachawangwe?
  11. M

    Askofu Pengo asisitiza tuishi kwa amani, Membe ahudhuria ibada hiyo!

    Kwa malofa hamna amani na haitakuwepo mpaka mboe awe rais kitu ambacho hakiwezekani.
Back
Top Bottom