ukitaka kujua uhai wa UKAWA angalia kura alizopata Mgombea wa Lipumba kinondoniUKAWA bado upo kweli?
UnaaMimi Yehodaya wa CCM na CCM ndakindaki nawatakia Chadema wote na CCM na wa vyama vyote vya siasa dunia nzima na watanzania wote na watu wote wa dunia nzima pasaka njema popote walipo
Dah....UKAWA ilikufa kitambo sana...Siku ileile Mzee aliponunua chama....Hivi bado kuna UKAWA au UKIWA. Teh
Asante sana KAMANDA. MIMI nawatakia watanzania wote pasaka njema.Hizi ni salamu za pasaka kutoka kwangu binafsi na kwa familia yangu pia , sikutaka kuweka unafiki wa kumtakia heri binadamu yeyote tu ili mradi ni Mtanzania , La hasha ! ndio maana nimewachagua Chadema na UKAWA tu.
Salamu zangu zifike mpaka kwenye gereza walimo viongozi wa chama kikubwa nchini Tanzania cha Chadema , ziwafikie wafungwa wote wa kisiasa na wale wote waliowekwa mahabusu kwa sababu za kisiasa , Mungu awape nguvu na ujasiri wa kuendeleza mapambano.
Ujumbe wangu kwenu ni kuendelea kuyatafakari maandiko matakatifu na hasa kitabu cha Yeremia 5:17 kisemacho " AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU " Maana hakuna mahali popote pale ambapo Mwanadamu wala Mwovu Shetani Aliwahi kumshinda Mungu
Naomba kuwasilisha .
Ukipungiwa nawe PUNGA!!Yesu hakuwahi kuwa mnafiki na kushabikia utekaji na mauaji
Una akili sana !empty set
Yesu hakuwa anadhulumu uhai wa mtu, Yesu hakuwa muongo wala Yesu hakutaka watu waisho kama Mashetani na pia Yesu hapendi wanafiki.Yesu alikufa na kufufuka kwa ajili ya watu wote duniani bila kujal vyama vyao ,kabila,dini,mitizamo ya kisiasa au chochote. Nawatakia pasaka njema watu wote duniani popote walipo
we hujaelewa maandiko, inamaana yesu alikufa na kufufuka kwa ajili ya ukawa tu, ndio maana anawatakia pasaka njemaYesu alikufa na kufufuka kwa ajili ya watu wote duniani bila kujal vyama vyao ,kabila,dini,mitizamo ya kisiasa au chochote. Nawatakia pasaka njema watu wote duniani popote walipo
Onesha una imani haba sana!Yesu hakuwahi kuwa mnafiki na kushabikia utekaji na mauaji
Ule ulikuwa ni mpango uliondaliwa kuhakikisha wanakosa dhamana siku ile na kuendelea kukaa Segerea...Makamanda wa Ukawa pamoja Na Mbwembwe zao walishindwa kweli kuchangiashana hata elf 25 tu kwakodia 'uber' Viongozi wao kutoka Segerea hadi Kisutu ili wapate dhamana ?
any way tuyaache, nawatakia Kila la kheir Makamanda popote walipo
Matusi na uchawi ndio njia pekee iliyobaki kwa masikini kupambana na Tajiri .Naona zero brains mnatakiana sikukuu njema
Lol!
Yesu kristu amekataza kumyooshea mwenzio kidole,ilhali wewe sio malaika wala Mungu.Mungu amekataza wanadamu kumpenda Shetani
Hongereni sana wanachadema kwa kujipendekeza kwa wazungu , kuichafua nchi kimataifa na kuponda kila aina ya maendeleo yanayofanyika nchini.Hizi ni salamu za pasaka kutoka kwangu binafsi na kwa familia yangu pia , sikutaka kuweka unafiki wa kumtakia heri binadamu yeyote tu ili mradi ni Mtanzania , La hasha ! ndio maana nimewachagua Chadema na UKAWA tu.
Salamu zangu zifike mpaka kwenye gereza walimo viongozi wa chama kikubwa nchini Tanzania cha Chadema , ziwafikie wafungwa wote wa kisiasa na wale wote waliowekwa mahabusu kwa sababu za kisiasa , Mungu awape nguvu na ujasiri wa kuendeleza mapambano.
Ujumbe wangu kwenu ni kuendelea kuyatafakari maandiko matakatifu na hasa kitabu cha Yeremia 5:17 kisemacho " AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU " Maana hakuna mahali popote pale ambapo Mwanadamu wala Mwovu Shetani Aliwahi kumshinda Mungu
Naomba kuwasilisha .