Recent content by Master Br

  1. M

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    Anajikuta anatumiliki wote. Yana muda. Alikuwepo na Mabutu sseseseko kuku ngwendu wa zebanga. Yuko wapi?
  2. M

    JamiiForums Tanzania TCRA na Jeshi la Polisi Waogopa Kumchukulia Hatua Diamond Platnumz kwa Kutukana Hadharani

    Wenye akili nusu tu ndio watawaza kama wewe. My friendi jua tu sio kila aliefanikiwa kapambana. Abdul amepambana wapi?. Sio kila masikini ni mbovu. Wapo watu wanapiga kazi kuanzia asubuhi mpaka jioni lakini bado mazingira yanamuacha bado akiendelea kupambana na kuwa masikini. Kupambana kwenye...
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Utapasuka bure mama. Mbona Iryn na mama J hawana utofauti...! Yoyote kati yao mbona fresh tu. Usione mama J katangulia ndio ukaona ni mkamilifu kuliko Iryn. Wanawake wa siku hizi wote ni mle mle tu
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa imenizawadia kiharusi

    Ni wengi wanapitia hiyo hali. Lakini wanaofaidi ndoa ni wale never mind kwenye ndoa yaani ameyaweka maisha ya ndoa kama hana cha kupoteza. Huyu anaweza kuacha mke muda wowote. Cha muhimu kujua kwenye ndoa za siku hizi ni kujijali kwanza wewe. Usione shida kuachana nae hata ikibidi kumuachia...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Majina ya Wanasiasa vijana wenye utulivu na ambao wanaweza kuupata Urais 2030+

    Aaah....! Ukifungua upinzani huko kuna lulu ya viongozi. Kuna 1. Antipas Lisu huyu hana mpinzani Tz. 2. Kuna Heche nae amenyooka sana.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Majina ya Wanasiasa vijana wenye utulivu na ambao wanaweza kuupata Urais 2030+

    Umeanzisha Uzi wa vijana,usijaribu kumtaja February hamna kiongozi pale. Pale kuna tamaa. Pia Usijaribu kumtaja ridhi1 hatuko kifalme. Japo ukiongea nae nje ya siasa ni mtu sana. Lakini kuwa kiongozi bora ilitakiwa aanze kujitengeneza sasa huko kwenye jimbo kuwa muungwana kwa kuruhusu democracy...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mahakama yakataza rasmi Vyombo vya Habari kurusha live au kuripoti kesi ya Lissu

    Haya mambo yanatokea kwa Tanzania tu. Ni bora kipindi cha mkoloni mweupe unaweza kupata haki,lakini si mkoloni black,ni ubakaji haki
  8. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nawashangaa CHADEMA wanamshabikia Askofu Gwajima leo, ina maana wanasahau mapema kiasi hiki?

    Mtu yoyote anaeoongea vitu vya ukweli ambavyo CHADEMA na jamii inavipigania lazima aungwe mkono na CHADEMA. Haijalishi huyo mtu katokea pande gani?. Hivi kuna mtu mwenye akili timamu asieona utekaji ulivyoshamiri Tz?. Ni wewe tu na wenzio ndio hamulioni hilo swala. Hilo swala la utekaji lisikie...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Jakaya Kikwete ungeachana tu na mambo ya siasa. Haitapendeza siku ukitutoka watu wafanye sherehe

    Upinzani aliubeba vipi,wakati aliiba kura?. Kuacha upinzani uwepo ni sheria ni haki sio kubebwa.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Jumanne Kaseja ni akili kubwa na hakuna mtu anamuweza hapa Bongo

    Aaah...! Ok. Basi inabidi aende
  11. M

    JamiiForums Tanzania Jumanne Kaseja ni akili kubwa na hakuna mtu anamuweza hapa Bongo

    Ndio wa wapi? Kumuweza kwenye nini? Mbio?
  12. M

    JamiiForums Tanzania KERO CT scan na MRI kwanini mgonjwa hapewi option ya kuchagua?

    Etiiii...! Volume ipande kidogo
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Msitudanganye tu kwamba nyie mnaomsema Mary kwamba ndio mko smart kiasi kwamba utachomoa kunasa kwenye ndaono kama hiyo...! Humu humu tu wengi tayari mmeingia kibra kwa inside. Ni vile tu ngumu kumtokea
  14. M

    JamiiForums Tanzania Mitandao wa FACEBOOK na YOUTUBE ina shida muda huu. Hii ni sababu ya SIASA au ni nini?

    Mlisema Magu ni dictetor?. Kuna watu wameiga umafia wa Magu wamepitiliza nao
Back
Top Bottom