Kwa marekebisho tu Mkuu, Israeli ilipigana na nchi zaidi ya 4 kwa mpigo za jirani yake. Majibu uanfahamu kama sikosei.
Nia hayo tu, wako mpendwa katika kujenga Taifa na kuangalia matofali yakipasuliwa uwanja wa Taifa.[emoji23]
KWANZA:
Mungu ni nani? (Ni Alfa na Omega, Muumba wa mbingu na nchi). Haya sawa, twende kwenye alichokifanya kwenye uumbaji. Moja ya uumbaji wake ni binadamu wa kwanza Adam na Hawa. Sawa kabisa, haya Adam na Hawa wakazaa watoto Kaini na Abeli (Hongera zao). Kaini akamuua Abeli (Pole kwa familia)...
Mkuu umeongea vizuri. Kwa sasa ongezeko la watu ni kubwa sana, hiyo 60 million inayosemwa nahofia sana ipo zaidi mpaka 100m.
Heri kuwa na demand ya Labour kuliko kuwa na over surplus ya labour.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.