Hebu niambia kuna uislamu wa kulipua makanisa nani kakuambia ufanye hivyo
Mtume wetu wapi na ibala gani amesema mkalipue makanisa na uue watu wasio kuwa na hatia acha ushabiki
Kumbuka hii sio simba na yanga ukawa na ccm hii ni dini mkuu acha ujinga nenda kasome dini
Mkuu wala usiupake matope uislamu dini yetu tukufu wala ausiani shighuli za kulipua makanisa sio ndio uislsmu umeagiza hivyo ni waongo tu
Hao wapumbavu fulani wajiegezameza na kivuli cha uislamu, dini yetu aijaagiza kuwaua watu wasio na hatia kama watoto wadogo, wanawake, vilema, wazee...
Mnatakiwa kuuelewa uislsm una sheria iliyojikamilisha moja zinamtaka mwanamke kuwa ni mama wa na ni mlezi wa familia na ibada zake za swala zitakuwa bora zaidi endapo tu atazitimizia akiwa nyumbani. Sasa nashangaa huyo Dada ambae amelalamika kwenye mitandao ya kijamii isingemsaidia kufanya vile...
XI ji ndio mwamba wao ila kamseti Kim kawa kalianzisha safii kabla ajakutana ndugu yake WA sk alienda kwa mkuu wake xi ji na pia kabla ajakutana na mawigi alienda kuchukua advise tuko pamoja[emoji106]
Na anapotangaza Dodoma jiji kwaiyo ndege za kimataifa zikatue chatto ndio wageni waje Dodoma na hilo jengo la TRA,Chatto wanakusanya pato gani kisa ujenge ghorofa hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.