Recent content by Masonda.

  1. M

    Android mega thread; Maswali, Tips and Tricks, Kila kitu kuhusu android

    Wakuu mimi ni mgeni kwene aya mambo ya smart 4n. ila nikidownload iz application sim yangu imekua ikiniambia "For security, your phone is set to block installation of applications not obtain frm anroid market" kama ni mambo ya kuroot nairoot vp hii huawei y300. Natanguliza shukran.
  2. M

    Wamama/dada zangu wafuga kucha mnawezaje kujisafisha sehemu nyeti?

    kama una uzoefu wa kufumaniwa na mbio unazo nenda
  3. M

    Mara ya kwanza kununua salama condom

    Hahahaaaaaaa... uyo msichana atakua mhaya. Wahaya wanatisha
  4. M

    Jinsi wakina dada wanavyo changanywa na maumbile yao.

    Tupo ambao tuko tayali kuhonga kuanzia cheti cha primary adi Transcript kwa figure ambayo unasema utata.
  5. M

    Jinsi wakina dada wanavyo changanywa na maumbile yao.

    kujadili mada uku unacheki picha ya tukio lenyewe kuna raha yake mkuu. samahani lakini
  6. M

    Stori: Uko wapi rafiki? Kuna cha kujifunza hapa?

    duh.. yaan utamu unakolea umekatisha. ukirudi tena inabidi nianza kuvuta hisia upya.GUD GUD STORY
  7. M

    Mwalimu wa madrasa anaruhusiwa kuchapa mwanafunzi wake?

    Ila izi bakola wanazotumia katoliki ni kwamba unamchapa mtt uku wote mnaona raha... uchapaj mzur sana
  8. M

    Hii ni kawaida kwa watoto au?

    Akiona demu mkali anamuangalia sana
  9. M

    Enzi ulipokuwa boarding

    Ilikua kimuki nn?
  10. M

    Kinachojiri harusi ya Joshua Nassari hivi sasa hapa Usa Academy Ground

    Bwana harusi angekaa kwa katkat. Ni mtazamo tu
  11. M

    Taja jina la mtu ambalo ukilisikha linakuchekeshaga

    Kuna jamaa alikua anaitwa Nyavamba Massive basis cku akipata barua pale tanga tech. Mlikua very burdan kwakweli jina lake likisomwa hahahaaaaà
  12. M

    ZIJUE 100 Keyboard Shortcuts

    Wakati mwingine MTU unaweza kupata elim kwakua umekutana nayo kama ivi. Sijui kama isingepostiwa tena ningepata wazo la kutafuta aya madini. Sante sana mkuu naachana na mazoea ya kutumia key board sasa
  13. M

    New tigo unlimited package

    Nimeiweka mm unpata 1Gb kutumia ndani y Massa 24
  14. M

    Nikifeli mtihani wangu wa leo jioni nitawalaumu members wote humu kudadadeki.....

    Utafaulu, ntajitid kupanga nyumba y jiran apo Ili Shem asipate tabu ukiwa busy na If. Tuko pamoja
Back
Top Bottom