Recent content by Masomo Bal Gera

  1. Masomo Bal Gera

    Kasi ya China kuendelea kukua kiuchumi duniani. Wamejenga mji mpya kabisa uitwao Xiongan ndani ya miaka 7 tu.

    Naona kama ni ndogo kwa huo mji kuanza from the scratch... 1.334Trillion tz sh mh ndogo
  2. Masomo Bal Gera

    Prof. Kitila Mkumbo: Ushauri wa Kishujaa umesababisha Tanzania ishtakiwe katika Mahakama za Kimataifa. Wasomi wetu waliwadanganya Viongozi

    Huo ni uchawa tu baada ya mama kusema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake, wengine ndo Hao wanaanza kununua kamba mpya waziongezee hapo wale wanavyotaka..... Kwahiyo nawew waweza tafuta yako mkuu uone waweza kula vipi.. naona wapinzani walivyolambishwa asali na mama wanaona JPM ndo alifanya...
  3. Masomo Bal Gera

    AURA SPECIAL THREAD: Fanya muujiza wa kwanza na Rakims

    Hii thread nimekuja kuitafuta aseee, nataka niijue vizuri haya yote Stage ya kwanza mpka ya mwisho, huu uzi kwa mara ya kwanza nliuona 2017, ila nimeanza kumtafuta Rakims mwenyewe mpk nijue, nataka kujua powers zote kama inawezekana Just to knw and have what is mine Rakims nahitaji Guidance
  4. Masomo Bal Gera

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    Guidance ninaweza kuzipata wapi mkuu? Niko very interested na haya mambo
  5. Masomo Bal Gera

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    Nataka kuziamsha mkuu, karibia kila kitu hapo Kuna mengi nimeyaona ninayo mkuu, zaman nlikuwa naambiwa wew uombe basi utuambie kitu flan kimepotelea wapi tukipate na nafanya hivyo afu naoneshwa kwe ndoto, vifo vya watu ninaowajua huwa naoneshwa pia mkuu mpk unaogopa..... Nataka zote nuzirudishe...
  6. Masomo Bal Gera

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    Nataka kujua nakutumia Powers zangu zote nlizonazo for goods of mine, itaweza kunichukua mda gani kuzipata zote zifanye kazi vzr? Pascal Mayalla
  7. Masomo Bal Gera

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    Asee hi Mada nimeipenda sanaa, naona kama zangu zimepotea hivi, nataka kufanya kama wanavyofanya Hao shaven monks
  8. Masomo Bal Gera

    Drama 10 bora za kihistoria kuhusu JOSEON:

    Jumong siyo ya Joseon ni ya Goguryeo Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Masomo Bal Gera

    COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

    Unitag mkuu ukirudi maana nimeuelewa uzi huu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Masomo Bal Gera

    Yaliyojiri siku ya mauaji ya Karume

    Mkuu hilo eneo wajerumani walikwisha nunua baada ya kuingia Tanganyika, kasome vzr Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Masomo Bal Gera

    Tanganyika haikuwahi kukaliwa na watu

    Siyo wabantu wa cush pure mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Masomo Bal Gera

    Be proud of your Country Tanzania

    Kwa sasa miji na majiji karibia yote naona wanakomesha gravel roads ni mwendo wa lami tu kila Street, heko mkuu wa nchi
  13. Masomo Bal Gera

    Je, Papa ndiye mrithi wa mtakatifu Petro?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  14. Masomo Bal Gera

    Je, Papa ndiye mrithi wa mtakatifu Petro?

    Huwa unajitahidi kuwafafanulia hawa bandugu na wanaelewa sema wanashupaza shingo tu Mkuu.
Back
Top Bottom