Habari wanajukwaa.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31 na nina degree ya sayansi na elimu (education).
Tangu nimemaliza elimu hii miaka 8 iliyopita nimefanya kazi kadhaa hapa nchini kama tutorial assistant, mwalimu wa shule, msaidizi wa mambo ya utafiti (research assistant), biashara na hata...
Changamoto ninayoiona mimi ni kupata mwenyeji kule. Wengine nauli, ujuzi, elimu na vitu vidogo vidogo vinaweza kupatikana. Lkn utaondoka unafikia wapi? Nani atakupa connection uanzie wapi?
Naomba tusaidiane hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitaleta aya tata ndani ya biblia kuhusu mada hii muhimu ya kifo, na maana zake.
Maana naona wengi wana hadithi zao tu zisizoungwa mkono na NENO LA MUNGU na bahati mbaya, watu wengi ndo wanapenda huo uongo kuliko ukweli.
Jehanamu.
Bwana Yesu aliyekuwa akifundishwa kwa mifano, alitumia mfano kuwafundishwa wasikilizaji wake juu ya hukumu ya mwisho, yaani, Jehanamu. Lakini mahali alipopatumia Yesu kama mfano wa hukumu na ambapo baadhi ya walimu wa dini wamepahusisha na GEHENA. Hapa ni mahali ambapo palijulikana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.