Recent content by Maskini Jeuri

  1. M

    Nchimbi atambika kwenye kaburi la Gama

    Crashwise - Edit hii habari tafadhali, makosa mengi mno.
  2. M

    Naiona CCM ikishinda tena 2015

    Ndani ya Maneno yako.."Sio wote wanao tapa tapa Wanazama" :shut-mouth:Mrs Zitto
  3. M

    WanaJF Njooni munieleze mnamaanisha nini?

    Maskini Jeuri- Haswaa ndivyo nilivyo! Nilihamua kutumia jina hili baada ya kufanya kazi kwenye kampuni ya wahindi wanyanyasaji kweli. Nilipambana nao kiasi cha kufanikiwa kupata mkataba wa hiyari kati ya mwajiri na waajiriwa "Collective bargaining agreement" ambayo ilifanikiwa sana.. BTW...
  4. M

    Edwin Mtei: Tulimuandaa Said Arfi uenyekiti CHADEMA lakini ameamua kuondoka mwenyewe

    Bila kiongozi kuandaliwa chini ya falsafa ya chama ni rahisi Mwigulu kuwa mwenyekiti wa CDM.. Tafakari!
  5. M

    Dr. Wilbrod Peter Slaa ni mwaasiasa hasa

    Viva CHADEMA Viva Dr W P Slaa!! Tunakupenda sana!!
  6. M

    Dk.Mkumbo: Nilijiuzulu nafasi zangu CHADEMA tangu 2010

    Punguza hisia olee! She! Kwani hujui CCM ime pledge nguvu na mbinu nyingi sana ku idefeate CDM? Zaidi ya hivyo, hekima inahitajika sana kung'amua mambo. Fikiri kabla ya kuchangia.. Ni mtazamo tu!
  7. M

    BBC: Zitto Kabwe amevuliwa vyeo vyote CHADEMA kwasababu ya kugombea uenyekiti wa chama hicho

    Kwani kinachowauma ninini? Mbona mnashindwa kuficha hisia zenu japo kidogo haswa baada ya msaliti kugundulika? Ukweli ni kwamba ZZK sio tu ni mzandiki. Ni traitor! Huyo hana nafasi ndani ya chama chenye nia ya kumkomboa mtanzania. No matter ni cha kikanda, dini gani au koo zipi. Bali...
  8. M

    BBC: Zitto Kabwe amevuliwa vyeo vyote CHADEMA kwasababu ya kugombea uenyekiti wa chama hicho

    Maslahi ya CCM hayakuzingatiwa kabisa.. That's why they are so much concerned. Kama mnapenda CDM ife mbona mnaumia mkiona inajiuwa?
  9. M

    BBC: Zitto Kabwe amevuliwa vyeo vyote CHADEMA kwasababu ya kugombea uenyekiti wa chama hicho

    Ndio! Inawezekana kabisa tatizo likawa ni uenyekiti. Ccm walitaka wampe "the traitor" zzk, uenyekiti wa CDM ili iweje? Kwa manufaa ya CDM? Think out of the box..
  10. M

    Tundu Lissu unatumika sana, sasa siku zako zinahesabika

    Ulitaka alelewe na...? Mdini mkubwa we! Tena mwana ha...
  11. M

    Tundu Lissu unatumika sana, sasa siku zako zinahesabika

    Na wewe unatumika na nani? Si vyema kuacha kukuuliza swali hili..
  12. M

    Mama Zitto atoa ya moyoni, alitamani mwanaye afukuzwe CHADEMA

    Access denied.. Mission completely failed. The worst traitor zzk.
  13. M

    Hakuna anayeweza kuizima nyota ya Zitto, ila Mungu pekee

    You are fake... Labda Mungu fake kama wewe!
Back
Top Bottom