Maskini Jeuri- Haswaa ndivyo nilivyo! Nilihamua kutumia jina hili baada ya kufanya kazi kwenye kampuni ya wahindi wanyanyasaji kweli. Nilipambana nao kiasi cha kufanikiwa kupata mkataba wa hiyari kati ya mwajiri na waajiriwa "Collective bargaining agreement" ambayo ilifanikiwa sana.. BTW...
Punguza hisia olee! She! Kwani hujui CCM ime pledge nguvu na mbinu nyingi sana ku idefeate CDM?
Zaidi ya hivyo, hekima inahitajika sana kung'amua mambo. Fikiri kabla ya kuchangia.. Ni mtazamo tu!
Kwani kinachowauma ninini? Mbona mnashindwa kuficha hisia zenu japo kidogo haswa baada ya msaliti kugundulika?
Ukweli ni kwamba ZZK sio tu ni mzandiki. Ni traitor! Huyo hana nafasi ndani ya chama chenye nia ya kumkomboa mtanzania. No matter ni cha kikanda, dini gani au koo zipi. Bali...
Ndio! Inawezekana kabisa tatizo likawa ni uenyekiti. Ccm walitaka wampe "the traitor" zzk, uenyekiti wa CDM ili iweje? Kwa manufaa ya CDM? Think out of the box..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.