Recent content by MASIORA

  1. MASIORA

    Model wa TZ Flaviana Matata ndani ya skendo nzito ya kuwemo katika jumba la xxx production Las Vegas

    Pambana mdada,,utuletee LIFE JACKET,,maana vivuko vinatufanya tunawaza sana mpaka mabichwa yanaongezeka upana
  2. MASIORA

    Waafrika wengi tuna tabia ya kuongea bila kushirikisha akili kwanza

    Kwenye swala lakuomba unyumba,,,lazima ahadi hewa ziwe nyingi,,,na ili inoge vizuri lazima kuongea kuwe mbele kwanza alafu akili ndio ifate.
  3. MASIORA

    Kuna mambo mengi sana ya kujifunza kwa wahudumu wa bar (barmaids)

    Umegusia sana FAIDA zakujuana nao bar maid,,Siku moja nenda na mke wako,bar,,,alafu utaona hasara mojawapo ya ku jenga ,nao mazoea.
  4. MASIORA

    Swali la ufahamu: Dege letu la Dreamliner linafanya safari za nje ya nchi? Linakwenda nchi gani?

    Kwani siku zote unavyotembea,,kifua huwa kipo nyuma??
  5. MASIORA

    Kuachana kwa amani na mpenzi wako: Njia nane zinazopendekezwa...

    Bora wanawake wangekuwa wanatuacha kwa amani,,wengine,,wanatuacha huku wakiwa wametupiga miti shamba yakutosha,nakufukia vichupa kwenye nyumba zetu ambavyo ndani yake kuna karatasi na majina yetu,,,wanatutesa sana hawa viumbe,,unajikuta muda wote macho mekundu,kazi huwezi kufanya,,kula...
  6. MASIORA

    Kilichotokea kijiji cha Kalambwa wilaya ya Chunya siku ya tarehe 14 Septemba 2018

    KIFO NI MTEGO,,kinaweza kukukuta mahali popote,,hata polini ukiokota manati kwenye shimo,,imani za kishirikina za nini tena,R.I.P dogo
  7. MASIORA

    Wazamiaji wa Ukara, Ukerewe wapewe zawadi ya ajira Serikalini

    Kwa taarifa kutoka chanzo maalum,,Serikali iliokoa mtu mmoja tu ambaye alikuwa engineer wa meli,lakini wote waliobaki waliokolewa na wananchi.
  8. MASIORA

    KIMARA: Wafanyakazi 50 wa UDART wakamatwa kwa kutoa tiketi feki

    Swali la msingi lakuhoji,,je maslahi yao wanapata kwa wakati,,,mfano wafanyakazi wa TAZARA,,walikuwa wana miezi 3,hawajalipwa mishahara,,lakini mauzurio yao yakazini nimazuri,,lazima ujiulize,je wanaishije hawa watu,,,ndio unakutaka na mambo kama hayo,hujama mbalimbali lazima zitakuwepo ili...
  9. MASIORA

    Mheshimiwa Rais hili daraja la Tazara lipo sawa kweli? Aliye karibu na Rais amkumbushe labda amesahau

    Alafu kingo au chuma za pembeni za ilo daraja la tazara fupi sana,sio rahisi kuzuia gari likipata tatizo,,kuanguka chini,,tusubiri,,tutajione movie ya The Fast and the Furious
  10. MASIORA

    Staili za Trafiki kukamata magari ya bei rahisi ni tofauti sana na zile za kukamata magari ya bei kubwa

    Ukiendesha gari ya bei,,raha sana hapa mjini,,,sio gari tu hata pikipiki yenye utofauti na ya bei ya juu,,,,usumbuliwi,,kuna gari ya milion 300,,mara nyingi ninapoendesha,,,huwa nasalimiwa tu na wale jamaa zetu,,raha sana
  11. MASIORA

    Dar inawapotezea watu muda

    Hapa tunachanganya vitu viwili kwa wakati mmoja,,mtu anayetafuta maisha DAR,,wakati huo huo wazazi wake wanamijengo dar,,na mtu anayetoka mkoani,,kuja kutafuta,,,,huku wazazi wake wakiwa hawana asset yoyote dar,,hapo kuna tofauti kubwa ya maumivu yautafutaji,,,,,,chamsingi,,nikutokukata...
  12. MASIORA

    TBL yawasaliti wateja wake? Yalikabidhi jeshi la Polisi vifaa vya kupima kilevi

    Kama police wangetumia ile staili yakusimamia mguu mmoja wangeshika wengi sana,,,lakini hako kadude kakupuliza kana dawa yake ,,,ukinywa alafu ukakutana nacho,ukipuliza ,,hakisomi,,,usicheze na wabongo.
  13. MASIORA

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Kuna muudumu nilimpa ofa ya msosi,,akaniletea bili ya elfu 10,,,,nikalipa huku roho inaniuma sana,,leo kaniudumia kwa bili,imefika kama elfu 65,pamoja na misosi,,,sasahivi nipo kwenye dala dala naelekea home,sijui nyuma kitatokea nini..sipendi ujinga kuleta bongo movie kwenye pesa za watu.
  14. MASIORA

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Napata tabu sana kunywa BALIMI katika mkoa wa DAR,,watu wananiona kama nimefulia,,kama kibaka,wanaficha simu zao,,,mbona kanda ya ziwa ,,ndio bia yenye heshima,,,Rock City utakuta safari zimeisha lakini sio BALIMI,,,,weka mikono juu na banjuka juu ,banjuka juu na balimi.
  15. MASIORA

    Bagamoyo: Afariki kwa kupigwa risasi baada ya kukaidi amri ya JWTZ

    Bora alivyokimbia,,kama wangefanikiwa kumkamata, mateso ambayo angekutana nayo,,,mauti ingemfika kwa maumivu makali sana,,mara mia risasi,,,R.I.P USAIN BOLT,,,wa bagamoyo.
Back
Top Bottom