sasa huko kwenye mitandao unamhoji nan!! fuata taratibu za kuhoji sio kuzusha jambo ambalo huna uhakika nalo!!. . kumbuka hiyo mitandao siyo kwetu kaka
Aisee man! mi nipo chugga na nime vote Uncle Magu, ili amalizie kibarua chake... lakn pia naona kama unachoongea hakielewi au hakipo!!! ivi media gani leo umeisikia kuna malalamiko yametolewa??
au hujaelewa mkuu!!! malalamiko yapostiwa kwa social network sio social medial sawa!!! na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.