Habari wana jamii forums, naombeni wenye kujua beach nzuri na ya bei nafuu kwaajili ya watoto anijuze kwani nataka sikuku hii niwapeleke watoto wakaenjoy kidogo, maeneo ya banana nasikia kuna beach inaitwa kwa mzungu naombeni mwenyekuijua
Pole dada i know how you feel my dear, me nipo kwenye ndoa naelewa kipindi kigumu unachopitia ya kuishi na mwanaume ambae athamini uwepo wako but njia pekee ya kuibadilisha ndoa yako ni maombi pekee ndo yatakusaidia, omba na kufunga kwa imani nakuhakikishia utaona mabadiliko makubwa sana ktk...
Habari zenu wandugu, naombeni kwa wanaojua center nzuri kwaajili ya kurudia mtihani wa kidato cha nne maeneo ya tazara, buguruni au kariakoo, kama kuna mtu mwenye kujua center nzuri zilizopo maeneo hayo naomba anijize plz
Habari zenu wanajamvi,
Naomba kufahamu kama kwa wanaorudia mitihani ya kidato cha nne ni lazima kurudia masomo yote. Yaani hakuna kuchagua kama alivyosema Waziri wa Elimu, Prof Ndalichako.
Naomba msaada wa kuujua ukweli.
Habari zenu wandugu, mimi ni mdada wa miaka 27, ninahitaji kazi ya steshenary, elimu yangu ni kidato cha nne pia nina ujuzi wa computer, sio lazima iwe steßhenary kazi yoyote yenye masilahi na iliyo halali nafanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.