Recent content by mashonga

  1. mashonga

    Dark days 17/03/20

    Yule Mzee alifia Makkah akiwa kwenye ibada ya Umrah, hivyo alizikwa Saudia, ila hilo haliondoi uwezekano wa kuwa na yeye ni Amii Jei (kwa sauti ya Joti)
  2. mashonga

    GE2025 Baba Levo VS Zitto Kabwe naomba qualification/CV zao

    Ni Majimbo mawili tofauti , Dalali ZZK yupo Kigoma Kaskazini, Baba Levo atavaana na Abdul Nondo Kigoma Mjini
  3. mashonga

    Barabara ya Songea kupitia Malinyi, mpaka Ifakara itajengwa kwa kiwango cha lami nikiwa Rais wa Tanzania

    Nakumbuka Serikali ilishaini mikataba ya ujenzi wa hii barabara, labda walipo mikoa hiyo watuambie kama kuna Mkandarasi site
  4. mashonga

    Je, safari ya kisiwa ndo itakamilisha jambo la July?

    Ilikuwa ziara ya siku moja na alirejea salama, siku inayofuata alipokea tuzo na pia alipokea ujumbe maalum toka Congo Brazzaville, tembelea page za KUILU uone picha
  5. mashonga

    Bunge la Bajeti kuahirishwa Agosti kuna nini nyuma ya pazia?

    Post toka kwenye kurasa za Bunge leo
  6. mashonga

    Kwanini kila dhuluma dhidi ya watanganyika inasimamiwa na watawala wageni?

    Shida kubwa ni Watanganyika hatuna uchungu na Nchi yetu, kazi kuendekeza Uchawa tu!!
  7. mashonga

    JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    No reforms, No election
  8. mashonga

    Sheikh: Mwanamke hapaswi kuwa na uongozi wa juu kabisa

    hii sio Qur' an, bali ni hadithi ya Mtume
  9. mashonga

    Brother, haya ndio yatakuwa mambo ya muhimu kwako katika siku zijazo

    Yupo Ivory Coast, kaongozana na Madelu pia, kuna mkutano wa Bodi ya Magavana
Back
Top Bottom