Acha kuwa empty minded na kujitia ujinga kwa makusudi, Huo ukweli mkubwa unaouna ni upi, uthibitisho wa udini wa Dr Dau uko wapi? Je kushuka kwa ufanisi na ubadhirifu? Sefue kashindwa kuthibisha haya akapigwa chini! Huo ukweli unaouona wewe uweke hapa!!
MTUMISHI wa Mungu afumaniwe kwa uzinzi na mke wa mtu, kesho asubuhi aamkie madhabahuni kuhubiri neno kisha waumini wapokee. Huko ni kumtania Mungu.
Mimbari ni kwa ajili ya wasafi. Ukiwa mchafu hufai kuhubiri neno. Maneno ya Mungu hayashereheshwi na mwenye uchafu. Maana mtu mchafu ni mtenda...
Nyie kina nani? nani kakwambia mimi naweza kuwa mpuuzi kiasi hicho cha kuwa mfuasi wa CCM!Tunapopiga vita juu ya itikadi mbaya za ujinga huu wa kukumbatia udini,ukanda,ukabila na chuki zisizo na msingi huwa hatuuangalii nani anaguswa, iwe CCM,CDM,CUL,NCCR,ACT au NLD tutatawakanya tu!
​Dar es Salaam.
Chama cha NCCR-Mageuzi kimeponda kauli ya Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu kwamba Katibu mkuu wa chama hicho kikuu cha upinzani, Dk Willibrod Slaa ndiye atakayekuwa mgombea urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).Akiwa kwenye mkutano wa hadhara wa Chadema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.