Recent content by Mashimba Son

  1. Mashimba Son

    JamiiForums Tanzania Sijaona waziri anaeshirikiana na jamii kwa moyo wa kujitolea bila makamera kumzidi Dkt Dorothy Gwajima, Her Responsibility exceeds her power

    Ni Sahihi huyu Mama yupo powah sana,hana Makuu yeyote anashirikiana na Jamii Vizuri.!
  2. Mashimba Son

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mwanzo wa mwisho wa Mo Dewji Simba,JayRuttty kufuata nyayo za GSM,kugeuka wafadhili wakuu wa Simba

    Ni Diwani wa Kata ya Makongo na ni Meya Mstaafu wa Manispaa ya Kinondoni 2024
  3. Mashimba Son

    JamiiForums Tanzania Nahitaji passport ya kusafiria haraka iwezekanavyo

    Mbona Jambo la Passport halihitaji ujanja nenda ukawaeleze tu kuwa unashida nayo haraka Watakusaidia unapata Mapema.!
  4. Mashimba Son

    JamiiForums Tanzania Nyakati zimeenda sana, nikikumbuka vipindi/nyimbo hizi za muziki najiona kabisa siku zimeenda sana, mambo hayako tena vile

    Umenikumbusha Mbali sana,Miaka hiyo ilikuwa inabamba sana kusikiliza Vipindi vya radio hata kuanzia saa 8 baada ya Dw nakumbuka nilikuwa Sekondary ninawahi saa 9 nikamsikilize Beatrice Robinson aka Mtoto wa Mama Sabuni au wakiwa wanawapigia Simu Wasanii wanazungumza nao kuwahoji.!
  5. Mashimba Son

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nauza gari Mitsubish Outlander (2009), bei ni Tsh. Mil 18

    Wafanyabiashara Wote wanatakiwa wakutumie Wewe kutangaza Biashara zao kwani umeweka taarifa zote ambazo mnunuzi anahitaji kufahamu,haina haja ya Maswali Mengi hongera sana,Wenye uhitaji na hii Gari wachukue Mapema tu !
  6. Mashimba Son

    JamiiForums Tanzania BAMBURI CEMENT YA KENYA YANUNULIWA NA MTANZANIA.

    Ni Mfanyabiashara Mzoefu kutoka familia ya Oilcom sasa hivi yeye anamiliki Vituo vya Mafuta Camel Oil na Kiwanda cha Saruji hapa nchini chenye Chapa ya Camel Cemnt. Tumpongeze kwa hatua kubwa hii.!
  7. Mashimba Son

    JamiiForums Tanzania Ni nani huyu Waziri Rajab Salum, Katibu binafsi wa Rais Samia?

    Anaitwa jina Waziri ni Katibu Binafsi wa Rais
  8. Mashimba Son

    JamiiForums Tanzania JamiiForums yamtambua Dkt. Dorothy Gwajima kwa kutoa michango chanya katika kuwahudumia Wananchi Mitandaoni

    Anastahili sana huyu Kiongozi,Maana anawasiliana na Kila Mtu.!
  9. Mashimba Son

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Dkt. Ndugulile akishaanza kazi WHO ni noma. Rais wa India akasome

    Deo Mwanyika akiwa Rais Barick/Acacia alikuwa analipwa Tsh ML 100 na point kwa Mwezi
  10. Mashimba Son

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mizengo Pinda anaweza kumsaidia vyema Sana Rais Samia Umakamu Mwenyekiti

    Uko Sahihi kabisa Kuna Pinda na yule Mkuu wa Mkoa wa Geita Martine Shigela wote hawa ni Watulivu wanastahili.!
  11. Mashimba Son

    JamiiForums Tanzania Huyu ndie Rais wa 2030 anayetafutwa

    Muonaji ninakupongeza Sana kwa Uchambuzi wako ulio huru hujabebwa na hisia zako binafsi au Mahaba na Chama chochote Kazi nzuri sana hii umeandika kwa Kutulia,Machapisho kama haya yanaleta Heshima kwa Jf Ubarikiwe sana.!
  12. Mashimba Son

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sasa na sisi wateja wa bank ya NMB kugomea makato ya Tsh 16,000 kwa mwaka

    Benki ni Equity hamna Makato ya Mwezi wa Mwaka unakatwa tu pale unapotoa Binafsi nashangaa hizi benki Makato ya nini ya kiendeshea Akaunti wakati ni Biashara yao
  13. Mashimba Son

    JamiiForums Tanzania Kwa mnaopenda kwenda ughaibuni kutafuta Maisha

    Hongera kwa Ujumbe Mzuri Ubarikiwe sana.!
  14. Mashimba Son

    JamiiForums Tanzania Serikali ikiendelea kuwachekea Wafanyabiashara Wanaogoma, Hali inaweza geuka kuwa kama Kenya. Fanyeni Oparesheni 1 tuu ya Kusafisha Wote

    Kama Leo waliofungua wamegoma kabisa kutoa Risti wanasema Mtandao unasumbua hii inatuathiri sisi ambao tunafile hesabu.!
Back
Top Bottom