DStv paytv na Azam media wao hawahusiki,ila hao chanel 10,itv,startv, cloud tv wanatakiwa walipe hela azam na DStv ili chanel zao zionekane,ukiona zimekatwa shida sio DStv ama azamtv
Habari zenu, naomba kwa mwenye utaalamu wa kutengeneza vifungashio vya ufuta tuwasiliane tufanye biashara.
Namba yangu ya simu ni 0752719412 napatikana pia WhatsApp kwa namba hiyo, mwenye utaalamu jamani tusaidiane
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo mnamlau kocha wakati usajili wamesajili viongozi bila kujali mahitahi ya timu, mfano niyonzima wa nini wakati una mo ibrahimu na mzamiru?
Kocha atafukuzwa c kwa makosa yake ila kwa makosa ya viongozi na pressure ya mashabiki wasiojuwa mpira maana soon ataanza kupangiwa kikosi(11)
Sent...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.