Recent content by masepo mkal

  1. masepo mkal

    JamiiForums Tanzania "Mabeberu" Marekani waanza mbinyo kwa Tanzania. Washawishi Serikali yao na Jumuiya ya Kimataifa kuanza vikwazo na kukata misaada

    Nachoamini sisi tunashida Kama waliyonayo wao, swala Ni exchange tu, Kama Hakuna Cha maana Sidhani Kama midahalo ya nchi yetu ingekua mingi kwako, Kuna wanachonufaika nacho//Tumia akili ya Nyerere kuelewa, ya mzungu itakusumbua na kuwaza mabalaa pekee
  2. masepo mkal

    JamiiForums Tanzania "Mabeberu" Marekani waanza mbinyo kwa Tanzania. Washawishi Serikali yao na Jumuiya ya Kimataifa kuanza vikwazo na kukata misaada

    Beberu hajawahi kuwa mtetezi, anaweka mazingira ya kutetewa ili afanye wepesi kwenye masuala yake pekee,
  3. masepo mkal

    JamiiForums Tanzania Waziri Ndalichako tunaomba utoe tamko kuhusu mwongozo wa elimu baada ya shule kufunguliwa, kuna shule wamebuni michango yao

    Tatizo hata vikao/mikutano ikiitwa huwa huendi-Waamini walimu/walezi wenzio, wanahuruma Sana na watoto na wanamalengo ya kishule-Wizara wanayafikia Tambua waraka huo wa Elimu- bure unfanya kazi nchi nzima lakini mazingira tofauti, Msiwakatishe tamaa walimu wetu, waache wafanye kazi Yao ya...
  4. masepo mkal

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimekata tamaa, nimepigika, nimeteswa, nimedharauliwa, nimeumizwa, sasa basi!

    Kama wadogo zako uliowapenda umewawezesha anayekulaumu Nani? . Na hata Kama wanakulaumu wewe ulitenda wajubu wako- Tuliza akili-starehe hazitikiswi hivyo
  5. masepo mkal

    JamiiForums Tanzania Brand ipi ya maji ni bora baada ya Kilimanjaro Drinking Water?

    Dew Drop wapo vizuri
  6. masepo mkal

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Nina mimba ya mpenzi wangu wa zamani na mume wangu anajua kuwa ni yake

    moja wao ni ex wake
  7. masepo mkal

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Nina mimba ya mpenzi wangu wa zamani na mume wangu anajua kuwa ni yake

    kaa kimya tu hawezi kujitokeza kwa mumewe,jiandae kisaikolojia kwa lolote litakalo tokea, . Acha mawasiliano na ex, Mblock kabisa: . Ni bora mumeo ajue kutoka nje atachukua muda wa kuchunguza,atakua ameshajishajipooza (kama ni muelewa lakini-anaweza kuhimili magumu) . Itampa hasira sana...
  8. masepo mkal

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya kwenda Dodoma kikazi ameanza dharau “kama zote”

    Wanaume tunalogwa sana siku hizi; upole mwngi ubabe tumeuacha; impact ya 50/50 hii
  9. masepo mkal

    JamiiForums Tanzania DC Arumeru atoa siku 3 bendera za CHADEMA zishushwe wilayani kwake

    Wakuu msaada wa uzi kwa yaliyotokea Sudan; nasikia tu na nipo mbal sana na vyombo vya habar. Mtetezi wangu n Jf kwa net E napatapata humu ya ulimwengu . Nchi kubwa sana hii
  10. masepo mkal

    JamiiForums Tanzania Ofisi ya Utumishi wilaya ya Mwanga mnamdhalilisha Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro?

    Siti ya mbele imewahiwa Kama ni sio nzuri hata kidogo Sent using Jamii Forums mobile app
  11. masepo mkal

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU mko wapi? UVCCM inateketezwa kwa Rushwa

    Mmmh. Basi sawa. Tumesikia
  12. masepo mkal

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kauli hii imeniumiza sana kutoka kwa mpenzi wangu

    Achana nae dada. Hapo hakuna real love. Kwa nn uteseke kimahusiano!! . Jikaze kumwacha aende tu hata kama anajulia kukunyoa.
  13. masepo mkal

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania We mwanaume unikome!

    Uanaume ni shida mkuu
  14. masepo mkal

    JamiiForums Tanzania Hii "rushwa" kwa viongozi wa kidini isiwafanye wanyamaze,uhuru wa kuabudu na kuomba umeanza kutishiwa

    Hakika barafu!! Unaweza umwa tonces
  15. masepo mkal

    JamiiForums Tanzania Ndugai ni Spika asiye na sifa za kuwa spika

    Zitto atachapwa viboko Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom