Recent content by maseboking

  1. maseboking

    Roma Mkatoliki amwibua Mwakyembe, adai hana elimu ya kumshauri yeye mwenye digrii 4. Kama anapenda siasa aanzishe chama cha siasa

    braza kapaniki ila kamchana kiutuuzima Roma so wanachotaka jamaa aonekane yuko upande upi wa chama ili wajue kumfunga miguu kwakua yeye anatumia mziki kufikisha ujumbe wa wananchi bila kuegemea upande wowote so wananchi wanaupokea kama umetoka kwa mwenzao ndipo kaulizake zinaanza kuwatisha...
  2. maseboking

    Rais Kiketwe, kiongozi anapoenjoy maisha chini ya JPM wakati watanzania wanalia

    kosa la kiufundi lililofanyika kwenye uchaguz 2015 nipale viongo watu waliokua wamewaona dhaifu kuhusika au kushiriki kumleta kiongoz mpya ...alafu patokee miujiza uyo kiongoz mpya awetofaut na alete mabadiliko yatakayo onyesha udhaifu wa aliyepita .......hili swali au hii hali itaendelea mpka...
  3. maseboking

    Dstv tuoneeni huruma sisi Watanzania. Malipo yenu yanatuumiza sana!

    hahaha mzungu anakwambia ukitaka kumficha mwafrika weka kwenye kitabu ....sasa subiri kugudua kwenye hzo TV enelea kuziabudu
  4. maseboking

    Dstv tuoneeni huruma sisi Watanzania. Malipo yenu yanatuumiza sana!

    kukuelewa itakua kazi kwasababu mtu anae Lilia apunguzuwe ngalama za kuangalia TV naweza kusema yupo ilimladi siku ziende
  5. maseboking

    Dstv tuoneeni huruma sisi Watanzania. Malipo yenu yanatuumiza sana!

    kukuelewa itakua kazi kwasababu mtu anae Lilia apunguzuwe ngalama za kuangalia TV naweza kusema yupo ilimladi siku ziende
  6. maseboking

    Dstv tuoneeni huruma sisi Watanzania. Malipo yenu yanatuumiza sana!

    sim na TV zimefanya watu wawe na uwezo mdogo wa kufikiri nandomana watu wengi wamekua na maisha yakuigiza igiza MTU akiwa na msongo wa mwazo badala kukaa kutafakar ili apate njia yakutatua matatizo yke anaamua chukue sim au a check TV yke eti ili akili iwe sawa na ndo mana akipandishiwa bei...
  7. maseboking

    Dstv tuoneeni huruma sisi Watanzania. Malipo yenu yanatuumiza sana!

    yani unafikiri unaweza kunielewa nikikwambia piga kaz acha kulalamika unajua kuanza kulili kuangalia TV ni ugonjwa sijui kama unafaham hilo sijui watoto wataridhi nn hpo
  8. maseboking

    Dstv tuoneeni huruma sisi Watanzania. Malipo yenu yanatuumiza sana!

    piga kazi upate pesa so unalilia vilindi soma vitabu ukiwa muda wakuchck vipnd
  9. maseboking

    Magufuli: Nikiondoka watakaokuja wataweza?

    unapofanya jambo zuri kwa njia mbaya hilo sio jambo zuri tena
  10. maseboking

    Dr. Lwaitama achambua waraka wa makatibu wa CCM

    Mimi katika hili nimepata kujiuliza kwa nini ccm yazamani inayo itwa ya asili inahofu au hawaipend ccm hii na ikumbukwe wananchi pia wameitokea kutoipenda ccm asili lakini bado hawaikubali sana ccm hii ...hili nifumbo ambalo linahitajika kupata ufumbuzi ili tuweze kuvuka kama taifa
  11. maseboking

    Mahijiano ya Radio DW kati ya Bolleni Ngeti na Mogaiga/Musiba

    tatizo linalo ikumba ccm kwa xx nafikiri ni tamaa ya madaraka ccm hii mpya inavyo jinasibu kua nisafi tofauti na ile ya zamani niuongo mtupu ndomana imejaa uoga nakushindwa kufanyamambo hadharan uku ikiweka vitisho vingi ....so watanzania tusiumize kicha kwasababa hakuna aliwahi kuuficha ukwel...
  12. maseboking

    Shule Vs Mafanikio

    tatizo linalofanya shule isionekane nichanzo cha mafanikio huku ikiwa mafanikio yana itaji maarifa na shule inatoa maarifa ni kwa sababu...binadam hufanikiwa kwa kufanya kitu anachopenda ndipo unakutana natatizo la shule zetu kutufundisha ilimrad bila ata kumuelewa mwanafunzi anapenda nini...
Back
Top Bottom