Tatizo Halima anavunga mlumendagu, mgumu, dume kujimix na kabangi huku ameramba nusu K, sasa amekutana na ng'wenzi ya ulimi ili atulize kipago
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Mkoloni alituongoza kwa mjaredi kufanikisha Utawala wake, ndio maana mnasema bora utawala wa mkoloni kuliko utawala wa Ccm kwasababu Mkwere aliwachekea na kuwapakata. Magufuri bila kuwabatiza kwa Moto wapuuzi ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu kwasababu kwenye Uongozi wake no freedom of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.