Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Bothi...futa huo ujumbe kwenye thiginecha yako
Haaaa nakumbukia bwana..Tukaamua kumbeba mtu asobebeka..shenzi sana EL
Bothi...futa huo ujumbe kwenye thiginecha yako
shenzi type sana yule.Haaaa nakumbukia bwana..Tukaamua kumbeba mtu asobebeka..shenzi sana EL
bilalifulushenzi type sana yule.
Ila tuseme ukweli ha kamwanamke ni jembe sana bwana. Kakisimama kwenye reli hukatoi hata kwa nyundo. Basi tu sijui nilichelewa wapi ningekaoa hakaKamati ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge imependekeza Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA), asimamishwe mikutano miwili ya Bunge kuanzia leo, baada ya kutiwa hatiani juu ya kuunga mkono kauli ya CAG kuwa Bunge ni 'dhaifu'.
View attachment 1060889
Pia soma
Halima Mdee: Msimamo wangu kuhusu kauli ya CAG uko palepale, ninajua nitaadhibiwa na niko tayari
Mbunge wa Kawe kwa tiketi ya CHADEMA, Halima Mdee kaandika ujumbe huu kwenye akaunti yake ya twitter: Nimemsikiliza kwa makini Spika, akitutaka mimi na CAG Assad kuhudhuria Kamati ya Maadili ya Bunge nitahudhuria lakini msimamo wangu kuhusu kauli ya CAG uko palepale! Najua Nitaadhibiwa tena na...www.jamiiforums.com
Halima Mdee aitikia wito wa Kamati ya bunge haki, maadili na madaraka ya bunge
Mbunge wa Kawe Halima Mdee afika mbele ya Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kujibu tuhuma za kutoa kauli za kudhalilisha Bunge alizozitoa dhidi ya chombo hicho. Baada ya kauli ya Profesa Assad, Halima Mdee alihojiwa na baadhi ya vyombo vya habari kuhusu alichokisema CAG na...www.jamiiforums.com
Kinachoendelea ni utaahira.Kimuita mtu mjinga ni neno la kawaida maana akishaelewa ndio mwisho wa ujinga!
Kumuita mpumbavu sio vizuri lakini ni pale unapoona msamiati wa ujinga haumstahili.
Sijui hapa itabidi tutafute msamiati mpya kuhalalisha kinachoendelea!
Yaani hawa bokoharam ni shida Sana.Safari ya kupata maendeleo kwa nchi hii, yataanza pale hiki chama cha mashetani kitakapokufa..
Lema kawachana mubashara..
Naloli.Mbombo ngafu
Ukiona hivyo ujue kuna vimeo zaidi ya 1.5TrHii nchi ya ovyo sana,sasa bunge linagoma kufanya kazi na mkaguzi mkuu wa serikali,!linamkomoa nani?nani anapata hasara?nani anaumia?yaani haya majitu hayawezi kutofutisha CAG na NGOs,ukigoma kufanya kazi na NGOs au taasisi binafsi,hao watu binafsi,ndio wanapata shida,mambo yao hayaendi!
Sasa unamgomea CAG,harafu ukaguzi wa mashirika ya umma,hakmashauri,nani atatolea maagizo,na kusimamia kama kuna ufisadi umefsnywa?
Ukimgomea CAG,maana yake,umebariki wizi wowote ufisadi wowote utakaofanyika,umewapa majizi ya serikalini ruhusa ya kufanya watakavyo,maana hakuna wa kuwakamata,
Itakuwaje na sisi wananchi tugome kutoa kodi!
Au polisi wagome kulinda!
Sent using Jamii Forums mobile app
"hapa hakuna wizi tena maana wateule ni watu waaminifu sana na wasiokosea na ndio maana hakuna haja ya CAG. Si umeona mwenyewe TBA walivyofurumushwa pale Ukonga, si umeona mwenyewe upakaji wa rangi za ndege? ....au si unaona ujenzi wa fly over Ubungo kumaliza foleni Vs round about ya muda?"Hii nchi ya ovyo sana,sasa bunge linagoma kufanya kazi na mkaguzi mkuu wa serikali,!linamkomoa nani?nani anapata hasara?nani anaumia?yaani haya majitu hayawezi kutofutisha CAG na NGOs,ukigoma kufanya kazi na NGOs au taasisi binafsi,hao watu binafsi,ndio wanapata shida,mambo yao hayaendi!
Sasa unamgomea CAG,harafu ukaguzi wa mashirika ya umma,hakmashauri,nani atatolea maagizo,na kusimamia kama kuna ufisadi umefsnywa?
Ukimgomea CAG,maana yake,umebariki wizi wowote ufisadi wowote utakaofanyika,umewapa majizi ya serikalini ruhusa ya kufanya watakavyo,maana hakuna wa kuwakamata,
Itakuwaje na sisi wananchi tugome kutoa kodi!
Au polisi wagome kulinda!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatitizo ni kutokuwa na wabunge sahihi walio makini kutenda kazi za kibunge. Bunge letu limejaa wapiga vigelegele, watu ambao hawawezi kufikiri kiyakinifu.Dawa ni kuwa na bunge dogo lenye watu makini. Kuna watu wanapiga meza sababu tu jirani yake kapiga na kushangilia.
mimi siku moja baada ya kusoma majina na vyeo vya waliolipwa pesa za Escrow hasa wale wa 1.6b na nusu bilioni na mamlaka walizonazo kuandaa katiba ya wanyonge hasa kile kifungu cha katiba (1984) Chapter One, part ll (9c) (rasilimali za nchi na pesa za Escrow ni mali ya wananchi na wanyonge) nilisoma kifungu hicho na aliesaini chini ndio hao hao waliopiga pesa za escrow nikacheka sana nikahusisha ufisadi wa escrow na vifo na njaa na magonjwa ya watu masikini zaidi na hapo ndo nikaona kuwa evolution of man is not uniform!! yaani nikaona huku afrika evolution of man bado inaendelea!! labda hatujafikia stage ya mwisho ya ‘home sapiens’! nikawaza mengine yaani pambano kali la kuwania sanduku la kura kati ya simba na yanga bahati nzuri refa kutoka halmashauri ana kadi ya uanachama ya simba na kapiga jezi redi hata yanga wakifunga anasema mmeoteaaaa!! simba ambao walikodi kontena la waganga wa kienyeji toka Nigeria wakifunga goal la mkono, refa anaruka ruka anasema gooooooooal weka mpira kati!!wajinga oyeee!!! mara sasa hivi utaratibu ni bunge mahakama na serikali kupimana ubavu sasa refa wao kasema huyu mmoja ni goigoi kimewaka!! sasa timu mbili ziko kimya je wakimkubali refa hawa wawili na yule mmoja akimtosa refa nini kitatokea? nani ataumia timu moja ikimkataa refa bunge sirikali mahakama au wananchi??? siku ya wajinga ni jana this comment is for yesterday fools day but very sorry nimeandika leo!!! wajinga oyeeeee!!! better late than never!!!
Aisee ni kweliWanaosema waafrika sio binadamu kamili huenda wapo sahihi.
Bunge dhaifuuuuuuuuuu