Ndo hivo waache visingizio competitions zinaarika vyuo vyote washiriki ila unakuta chuo hakina mwamuko wa mambo ya tehama wanakimbizana na assignment tu wapate vyeti ila UDOM - CIVE wao wenyewe wanajiandalia mashindano yao na kujiweka tyr kwa mda wote.
T
Taarifa wanapata vizuri sana sema kuna michujo vyuo vingi vinatoka hatua za awali sana CIVE wako serious wao wenyewe wana competitions za hapo hapo chuoni
Luten ya maana mwenye nyota mbili ndo unamlinganisha na kamishina kweli luten si sawa kuruta tu wanalinda mageti huko jeshini ulizia vzr vyeo vya watu usikurupuke ficha ujinga wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.