Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Hapo kitaeleweka,Brg Gen Lawyer Ndani ya TAKUKURU opperational wise!!Safi sana mwanasheria wa JWT John Julius Mbungo..sasa tuchape kazi
Hapo kitaeleweka,Brg Gen Lawyer Ndani ya TAKUKURU opperational wise!!Safi sana mwanasheria wa JWT John Julius Mbungo..sasa tuchape kazi
Hayo ni madaraka yanaghusa zaidi ufanisi katika carrier husika ondoa mawazo yako ya kuona kila alipo mwanajeshi basi yeye ni mkubwa kuliko wengine wanaomzunguka.Naona umeshindwa kuona logic ya comment yangu.
Kwa vyovyote vile cheo cha Brig Gen ni kikubwa kijeshi ukilinganisha na Comissioner.
Kumbuka kuwa Taasisi ya Takukuru ilikuwa ikiongozwa na Brig Genera Kamazima hapo nyuma.
Kimsingi huyu Brig Gen Mbungo amepewa majukumu madogo kulingana na cheo chake, na kuwa chini ya mtu aliye chini kijeshi.
Hii inaweza leta figisu figisu!
Mteule yeyote wa rais anaweza kupigiwa saluti kwa kuwa ni mteule wa rais. Saluti sio mamlaka, ni salamu tu na wala sio lazima.Hayo ni madaraka yanaghusa zaidi ufanisi katika carrier husika ondoa mawazo yako ya kuona kila alipo mwanajeshi basi yeye ni mkubwa kuliko wengine wanaomzunguka.
Ingekuwa ni hivyo basi hata mawaziri wao wangekuwa wanajeshi wenzao mbona yupo Hussein Mwinyi sijui hata Jkt alienda lakini wanampigia saluti jezi zima, wakienda kwa Makonda pale ILALA BOMA watapiga saluti tu akiwemo na mkubwa wao kabisa.
Serikali ni pana usijenge superiority na jeshi... jeshi...ukafikiri wao wako juu ya kila mtu wale ni watumishi wa uma kama walivyo watumishi wengine wa uma, wao walichagua kazi hiyo na wengine walichagua kazi zingine mwisho wa siku bosi wao wote ni Rais na ndiye aliyeamua kumpa ukubwa wa Takukuru Mlowola na huyo mwingine kuwa msaidizi wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema wakimchukia mtu huomba CV yake. Watuwekee cv za Mbowe na sugu hapa.Kuna mtu humu alitaka kujua CV za Mkurugenzi mkuu wa Takukuru hizi hapa;-Bachelor of Laws with honors (UDSM), Masters of law, Birmingham City University (UK) Masters in Security and Strategic Studies (NDC)Wakili mwandamizi mkuu wa Serikali,Advanced studies in Combat and military intelligence
Umeufyata tu, mwenye haki ni yule anaemlipa mshahara, we ni mpiga kelele tu.Yuko vizuri. Ila usirudie tena kuleta u-vyama kwenye hoja kama hii. Hata tusio na vyama tunayo haki ya kufahamu wasifu wa Mkurugenzi wetu Mkuu wa TAKUKURU.
CV yake inatusaidia nini sisi wananchi? anakimbizana na rushwa za elfu 2 anacha akina LugolaKuna mtu humu alitaka kujua CV za Mkurugenzi mkuu wa Takukuru hizi hapa;-Bachelor of Laws with honors (UDSM), Masters of law, Birmingham City University (UK) Masters in Security and Strategic Studies (NDC)Wakili mwandamizi mkuu wa Serikali,Advanced studies in Combat and military intelligence