Anhaa ni Uwezekano wa kuwa kitu kitatokea au nafasi ya kuwa jambo moja/fulani litatokea katika jambo tofauti.
Ni kama probability
Sent using Jamii Forums mobile app
Neno ushoroba Lina maana mbili
1. njia nyembamba baina ya kitu na kitu au nyumba na nyumba.
2. sehemu nyembamba katika nyumba baina ya vyumba vinavyotazamana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli katika kiswahili hilo neno sanuka kuwa ni smartphone sijawahi kuliona au hilo simujanja ila neno ninalolijua na lipo kwny kamusi ni SIMUMTELEZO
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.