Recent content by Masanjaone

  1. Masanjaone

    TANZIA: Mwandishi nguli wa Habari Marin Hassan Marin afariki dunia

    Nimesikiliza wosia wa mtangazaji nguri ndg yetu mpendwa hasan m. hasani sijasikia tatizo lililoperekea kifo chake, kwa anae jua anijuze, maana kila ninaemwambia kuhusu kuondokewa kwa ndg yetu huyu ananiuliza kaugua nini nakoswa jibu lakini hata mimi nahitaji kujua pia.
  2. Masanjaone

    Aliyekuwa Mwenyekiti ACT Wazalendo abwaga manyanga

    Ha ha ha ! Ulichelewa kuliona hilo. Mimi nitabaki kuwa ccm mpaka tutakapo pata chama mbadara cha siasa. Kiukweli ccm niliichukia sana kuanzia utawala wa awamu ya tatu, awamu ya nne ndo nikaudhika sana sana kiasi cha kuiamini chadema na nikavaa gwanda. Chadema ikaniudhi baada ya kumfukuza zzk...
  3. Masanjaone

    Membe 'aitesa' CCM, wanachama wajipanga 'kumrudisha' chamani kwa namna yoyote

    Hivi nape yuko wapi! Mzee wakupigania chama.
  4. Masanjaone

    Membe 'aitesa' CCM, wanachama wajipanga 'kumrudisha' chamani kwa namna yoyote

    Machadema zero kabisa! Huyo kishaomba msamaha kitambo! Na wapinzani mlitegewa sumu yake tena naona mkashtuka. Pamoja na msamaha bado anachunguzwa.
  5. Masanjaone

    Serikali yashusha gharama za Urasimishaji

    Kiujumla wizara hii bado kunashida kubwa sana! Mfano kampuni inatangaza kuuza viwanja kwa bei ya 75000 kwa mwezi ndani ya miaka mitatu, lakini wanakwambia baada ya kumaliza kulipia mteja atalazimika kulipia gharama za kufuatiria hati wizarani lakini gharama hizo hazitajwi. Pili... mteja...
  6. Masanjaone

    Saed Kubenea: Sina mpango wa kuondoka CHADEMA

    Punguzeni kumshabikia kubenea na kulikebei gazeti la mwananchi. Kifupi ni kwamba kubenea ataondoka chadema kwa stairi ya÷ 1.meya wa kinondoni 2.meya wa Iringa 3.meya wa mbeya 4.mh.kom na baadae 30 Kiujumla chadema hakuko shwali! Wanao kipigania chama kwa sasa niwanufaika wa rudhuku tu. Nipeni...
  7. Masanjaone

    Hotuba ya Upinzani iliyozuiwa Bungeni leo Aprili 01, 2020 hii hapa (Full Text)

    Waandamane wakawafungulie wafungwa gereza kuu la ukonga ili wawaunge mkono🤣🤣🤣🤣 Cjui km hili lakuwapokea wafungwa litajirudia.
  8. Masanjaone

    Kutolewa kwa Mkopo wa Benki ya Dunia kwa Tanzania: Marekani yaeleza msimamo wake

    Acheni Mungu aitwe mungu! Marekani alimzuia makonda kwenda USA mungu akawapiga corona nawao wakajipiga pini zaidi ya lile la makonda na vifo juu. Wakati wanahangaika na corona WB wakaidhinisha mkopo wa zaidi ya 1.2 tillion! Hawajakaa sawa mboe nae covid 19 , hapo nchi shwaaaari.🤣🤣🤣
  9. Masanjaone

    Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

    Kama kuna mwanasiasa atakaekuja kuisha haraka ni zzk.
  10. Masanjaone

    Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

    MsemajiUkweli, Sijamuona fatma karume Shangazi.
  11. Masanjaone

    GE2020 World Bank yapitisha Mkopo wa Zaidi ya Trillion 1 Uliopingwa na Wanasiasa pamoja na Wanaharakati

    Tigershark, Mtapata taabu saaaana mkuu! SHETANI HAJAWAHI KUMSHINDA MWENYE HAKI, zitto mwenyewe katoa pongezi kupitia twiter! Naubaya sasa nayeye zitto yupo copyd. Niaibu ya mchana kweupe, naitakuwa moja ya siraha yakumpigia zanziber na kigoma.
  12. Masanjaone

    Barua Iliyotumwa kwa Waziri Mkuu kuhusu Makato ya Bodi ya Mikopo na Tozo ya Asilimia 6 kila Mwaka

    Hiki chombo nichakuangalia sana! Nawapinzani hizi ndio zilikuwa hoja za kuzungumzia sasa badara yakukaa kutengeneza maandamano na vurugu! Mfano. 1.loan board 2.Nyongeza ya mishahara 3.Bima ya afya 4.Bill za maji 5.Huduma za afya 6.Maripo ya wastaaf, uhamisho,posho za kujikim nk. Mambo haya 6...
  13. Masanjaone

    Bajeti ya ofisi ya Waziri Mkuu mwaka 2020/21

    Safi sana kiranja mkuu! Tunakukubari mkuu! Chapa kazi.
Back
Top Bottom