Recent content by Masaki road

  1. Masaki road

    Matukio Halisi Yanayothibitisha Uchawi – Utashangaa!

    Kuna mwanakijiji kanipa story Kuna wamama wachawi wanakuja nyumbani kunichezea Hadi wanazishika pumbu ila sijawashuhudia mm
  2. Masaki road

    Njia 5 Za Kuvutia Pesa Kwenye Maisha Yako

    Halo Kwa ushauri mtatuua mbwa nyie
  3. Masaki road

    Wanafunzi wa miaka hii ni changamoto

    Yaani ulikula nyara za serikali na unajitapa shenzi na pole yako tena
  4. Masaki road

    Wanafunzi wa miaka hii ni changamoto

    Wee chizi utakuja kujichomesha siku Moja unahisi hamna wa kukupata apa. *OHOO!
  5. Masaki road

    Nahitaji huu uzi nimpate mtu anaemiliki kuanzia 500m kuna experience nahitaji kushare nae!

    Haka Nako ni kadalali kalikomalimaliza chuo kamesoma psychology uchwala na hakataki kujishusha japo kanajijua ni kamaskini. Kanataka kaambulie Hela ya umachinga kariakoo dar
  6. Masaki road

    Nipo Dar, biashara ipi inalipa kati ya kukaanga miguu ya kuku na kukaanga mihogo?

    Kwanini usije Lindi huku tulime kwanza alafu urudi badae mtaji uuongeze
  7. Masaki road

    Ufugaji na kilimo unalipa sana

    Duh Uzi wa miaka kumi iliyopita Toka 06/01/2014 lkn kama wa Leo tarehe 26/08/2024 Atari Ee Mungu nisaidie na mimi niwe kama wao 🙆
  8. Masaki road

    Kilimo cha vitunguu maji

    Saiv Lina bei gani gunia Kwa taarifa ulizonazo
  9. Masaki road

    Nimelima nyanya heka 1 nimepata faida ya Tsh. Milioni 9 ndani ya miezi minne

    Kweli wewe ni nyoko ,,Sasa wewe unaiona million 2 per month ndogo wakati Kuna watu kuzipata hiyo ya PAMOJA ni utàta.... Umejitaid sana kutunza mshahara wa take home ya 700k unaishia 1M for Three months
  10. Masaki road

    Sababu za kushindwa kufikia dhamira yangu

    Pole sana,,Cha kukushauri kidogo ni jitahidi ulizike na ulichonacho usijilinganishe na marafiki zako ukajiona wewe upo slow kiutafutaji ,, Madeni yaepuke,,weka vitu vyako Siri,, omba Mungu Kwa Imani yako Mambo yatakaa sawa
Back
Top Bottom