Haka Nako ni kadalali kalikomalimaliza chuo kamesoma psychology uchwala na hakataki kujishusha japo kanajijua ni kamaskini.
Kanataka kaambulie Hela ya umachinga kariakoo dar
Kweli wewe ni nyoko ,,Sasa wewe unaiona million 2 per month ndogo wakati Kuna watu kuzipata hiyo ya PAMOJA ni utàta....
Umejitaid sana kutunza mshahara wa take home ya 700k unaishia 1M for Three months
Pole sana,,Cha kukushauri kidogo ni jitahidi ulizike na ulichonacho usijilinganishe na marafiki zako ukajiona wewe upo slow kiutafutaji ,,
Madeni yaepuke,,weka vitu vyako Siri,, omba Mungu Kwa Imani yako Mambo yatakaa sawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.