Recent content by Masai wa Town

  1. Masai wa Town

    JamiiForums Tanzania Muhadhiri wa UDOM, Melkisedek Kaijage aachiwa huru, Apewa Masharti

    Wakuu tufanyeje maana nimekasirika sana? Huu ukhanith utaendelea mpaka lini?
  2. Masai wa Town

    JamiiForums Tanzania Azam TV yaongeza channel mpya Azam Sports 5 HD

    Ving'amuzi havina maana siku hizi. Una installation app kwenye laptop, una subscribe kwa elfu 45 kwa mwezi, una connect TV kupitia HDMI unaangalia ligi yoyote duniani
  3. Masai wa Town

    JamiiForums Tanzania Asili Halisi ya Mwenge wa Uhuru: Siri Yafichuka

    Ndiyo maana kuna giza katika akili na nafsi za Watanzania. Nimefanya kazi na Wakenya, Waganda, Wanigeria, Wahindi na Wanyarwanda. Wanatudharau sana. Wanasema Watanzania hatuajiriki kwa sababu hatuna akili
  4. Masai wa Town

    JamiiForums Tanzania Rais ni nembo Ya nchi, Tumpende na kumpa ushirikiano wa kutosha

    Kwanini username yako ni namba ya oelectroniki ya CCM? Unadhani utapata uteuzi?🤮🤮💩
  5. Masai wa Town

    JamiiForums Tanzania Nilitoa utabiri mwezi wa nane wa tukio zito, limekuja now

    Ni zito maana mbwa wangu amekufa leo kwa kukanyagwa na gari
  6. Masai wa Town

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii ni hela kabisa aisee
  7. Masai wa Town

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Rais Samia ametoa Shilingi trilioni moja ili kuwakopesha wakulima kwa riba ya 9% zipo NMB na CRDB nia kukuza Kilimo walau kwa 8-10%

    Hiyo mikopo haipo. Ni siasa tu. Karibuni kwenda benki kama mtapata
  8. Masai wa Town

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Rais Samia ametoa Shilingi trilioni moja ili kuwakopesha wakulima kwa riba ya 9% zipo NMB na CRDB nia kukuza Kilimo walau kwa 8-10%

    Nchi imekuwa kichwa cha mwendawazimu, kila mtu anataka kujifunzia kunyoa
  9. Masai wa Town

    JamiiForums Tanzania KERO Shule niliyokuwa nafundisha inagoma kunilipa posho yangu baada ya kuacha kazi

    Unajua madhara ya kuanika mtandaoni taarifa za kiofisi? Na umeweka details zote Hivyo hivyo umefahamika kwa 100%
  10. Masai wa Town

    JamiiForums Tanzania Askofu Emmaus Mwamakula: Balozi Polepole yupo gereza la Ukonga

    Aisee 😑 😑
  11. Masai wa Town

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Epson printer na PC yake

    Epson eco tank L3250 = 550,000. Dell Latitude core i-5, SSD 250gb na RAM ya 8gb = 350,000. Nipo Ngorongoro. Njoo PM
  12. Masai wa Town

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya kuwa msomi na mfanyabiashara ni yupi ana advantage kubwa katika maisha ??!

    Mhe. Diwani, Unataka kujua nilipo?
  13. Masai wa Town

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya kuwa msomi na mfanyabiashara ni yupi ana advantage kubwa katika maisha ??!

    Unaajiriwa kama mtaalamu alafu unaenda kufundishwa kazi na mpumbavu kisa ni diwani
  14. Masai wa Town

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya kuwa msomi na mfanyabiashara ni yupi ana advantage kubwa katika maisha ??!

    Nimesoma kiasi, nina ajira lakini wanaoniamulia namna ya kufanya kazi yangu ni madiwani STD 3. That's bull shit
  15. Masai wa Town

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Majeshi, Mkunda: Ugaidi kwa Tanzania mpaka sasa hali ni shwari

    Unakumbuka Uvamizi wa Kitaya mkoani Mtwara, ulotokea usiku wa tarehe 14 Oktoba 2020?! Kwa mujibu wa Mkuu wa Jeshi la Polisi kwa wakati huo (IGP), Simon Sirro, alithibitisha kuwa magaidi zaidi ya 300 waliingia na kukata raia vichwa, kuuawa Maafisa wa Usalama na kuchoma hospitali na miundombinu...
Back
Top Bottom