Ving'amuzi havina maana siku hizi. Una installation app kwenye laptop, una subscribe kwa elfu 45 kwa mwezi, una connect TV kupitia HDMI unaangalia ligi yoyote duniani
Ndiyo maana kuna giza katika akili na nafsi za Watanzania. Nimefanya kazi na Wakenya, Waganda, Wanigeria, Wahindi na Wanyarwanda. Wanatudharau sana. Wanasema Watanzania hatuajiriki kwa sababu hatuna akili
Unakumbuka Uvamizi wa Kitaya mkoani Mtwara, ulotokea usiku wa tarehe 14 Oktoba 2020?!
Kwa mujibu wa Mkuu wa Jeshi la Polisi kwa wakati huo (IGP), Simon Sirro, alithibitisha kuwa magaidi zaidi ya 300 waliingia na kukata raia vichwa, kuuawa Maafisa wa Usalama na kuchoma hospitali na miundombinu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.