Nina matukio kazaa tuanze na haya
1: kipindi niko darasa la tano, usiku mmoja nilitoka nje kukojoa usiku wa manane, jilani na nyumbani kulikua na tajiri alijijenga vizuri na kuweka uzio na kuweka mlinzi juu, ujenzi wa zamani wa uzio mbele ya nyumba ulikua wazi, walikuwa wakichomelea vyuma au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.