Recent content by Masagala

  1. Masagala

    JamiiForums Tanzania Urafiki na mikopo

    Chukua tu ardhi ni mali pia.
  2. Masagala

    JamiiForums Tanzania Nawapa heshima zote mnaojitafutia vipato kwenye biashara, kumejaa ushindani, kukomoana, kuchezewa rafu, n.k. sio rahisi hata kidogo

    Acha tu, umekaa zako dukani unaona mteja yule anakuja usawa wa duka lako unajiandaa kunyanyuka mara mteja kapitiliza kwenye duka la JIRANI daah.
  3. Masagala

    JamiiForums Tanzania KERO Yard ya GSM Mbagala imeongeza tatizo la foleni

    Nabado mpaka ng'ombe atoe damu na sio maziwa.,CCM wala hawajali.
  4. Masagala

    JamiiForums Tanzania Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo

    Mwisho wa siku watoto wa Aina Hiyo huwa wanawapiga wazazi na kuwatukana juu.
  5. Masagala

    JamiiForums Tanzania Matukio na Masimulizi ya Wazee wa Mwaka 47

    Nina matukio kazaa tuanze na haya 1: kipindi niko darasa la tano, usiku mmoja nilitoka nje kukojoa usiku wa manane, jilani na nyumbani kulikua na tajiri alijijenga vizuri na kuweka uzio na kuweka mlinzi juu, ujenzi wa zamani wa uzio mbele ya nyumba ulikua wazi, walikuwa wakichomelea vyuma au...
  6. Masagala

    JamiiForums Tanzania Kesho mambo yakienda vizuri nitafukuzwa kazi chanzo ni marafiki

    Kamdomo.
  7. Masagala

    JamiiForums Tanzania Wazalendo tunasimama upande gani katika mnyukano kati ya CCM na Marekani?

    🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
  8. Masagala

    JamiiForums Tanzania Nimetazama mahojiano ya B12 na Adam nikagundua hali mbaya kifedha kwenye media pamoja na majuto

    Mwambie samuya awasaidie si walikua busy kwenye kampeni kumtafutia kura.
  9. Masagala

    JamiiForums Tanzania Chuma ulete. Nimejichanganya

    Endelea kuhesabu hivo hivo hesabu itakaa sawa
  10. Masagala

    JamiiForums Tanzania Kukata Mawasiliano na Familia: Miaka Haina Habari

    Faida ni chache mara ni nyingi ni hasara tu, ondoka lakini mawasiliano yawepo.
  11. Masagala

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwako wewe mwanaume

    Naunga mkono hoja✍️
  12. Masagala

    JamiiForums Tanzania Matukio na Masimulizi ya Wazee wa Mwaka 47

    Sawa sawa Nitashea tu.
  13. Masagala

    JamiiForums Tanzania Matukio na Masimulizi ya Wazee wa Mwaka 47

    Twende kazi.
Back
Top Bottom