Recent content by Marytina

  1. M

    Kwanini matajiri (watu waliofanikiwa) hudhani masikini ni wavivu?

    Endelea kukumbatia ujinga, utajirina umaskini sio nguzu za kufanya kazi, ni mambo ya kiroho
  2. M

    Walimu wa shule za msingi wanatakiwa waajiriwe wenye degree na sio waliofeli form 4 kama ilivyo sasa

    Kumpa mtu overqualified nafadi ndogo ni kumfanya asiwe na morali ya kazi? Haiitaji degree kufundisha watoto wetu, wanahitaji walim wa kawaida sana tena wenye uelewa wa kawaida ili kuendana na bongo za watoto
  3. M

    Umasikini ni chanzo Cha Mabaya (Umasikini ni ulozi)

    Pia umasikini ni dalili ya laana na mapepo
  4. M

    Unaweza kukisia hisia wanazopitia watu walionunua magari kwa mkopo

    Mimi mume wangu Kila mara namshauri akope, gari, viwanja....hata asipokopa sjui wapi anakopeleka hizo hela Kuna wkt hela haiwekeki hasa sisi wenye familia kubwa....dawa ni kuikata hela huko inakotokea Tusisahau kujenga ila KUFURAHIA MAISHA MUHIMU PIA....tembelea matako uyapendayo....
  5. M

    Walimu wa shule za msingi wanatakiwa waajiriwe wenye degree na sio waliofeli form 4 kama ilivyo sasa

    Huyo mwalim wa degree atalea watoto? Hivi unajua mziki wa kushinda siku nzima na watoto 50?
  6. M

    Mfanyakazi wa Private mshahara milioni 12 anaenda kugombania kazi serikalini mshahara milioni 2, hiki ni nini kama sio ujinga ?

    Akikutajia asubuhi Mimi nitakwambie kama ni kweli ama si kweli. WAACHE KUTIANA UPEPO HAYO MAHESABU TUNAKAGUA KILA SIKU, Narudia kusema nimeona mishahara ya 80M kwa mwezi, ila kwa wataaalam kwelikweli, Kibongobongo ni watu wachache sana wanaolipwa 12M private. Nitajie kampuni ambayo robo ya...
  7. M

    Mfanyakazi wa Private mshahara milioni 12 anaenda kugombania kazi serikalini mshahara milioni 2, hiki ni nini kama sio ujinga ?

    Nipo kwenye TAASISI YA KUKAGUA MAHESABU, hesabu za kampuni nyingi zinapita machoni kwangu Nasema MSHAHARA WA 12M hawalipwi wapumbavu ni wataalam maalum. Hakuna mtaalam maalym mwenye akili na uwoga wa kuacha 12M akafuatwa 2M serikalini. Sikatai watu wanalipwa 36M ila ni watu haswa sio wapumbavu
  8. M

    Hivi makalio makubwa kama haya, huwa yana faida gani kitandani?

    Dhahabu ni dhahabu tu, mtukane, mchukie itabaki dhahabu......mwanamke kalio.....
  9. M

    Nani adui wa CHADEMA - Freeman Mbowe au Tundu Lissu!?

    Hahahahah!!! Chadema ongozeni chama chenu mkijenge achaneni na MBOWE
Back
Top Bottom