Mitandao ni mibaya sana katika mahusiano,especially facebuk,unakuta mwanaume au mwanamke ana zaidi ya wanawake au wanaume 6 kwa fb,kila mmoja anampromise mambo kedekede,siku ya siku ikifika kujulikana mwenza mkuu ni nani,jamaa au mdada anaanza kudata,mwishon wote wanakukimbia unabak mtupu,hujui...