Recent content by marwarwa

  1. M

    Madhara ya operation kwenye korodani

    Nadhani maana mm kuna kimoja kinauma sana.
  2. M

    Madhara ya operation kwenye korodani

    Sio busha mkuu ni matatizo ya kawaida ni vivimbe kama gololi kwenye korodani.
  3. M

    Madhara ya operation kwenye korodani

    Habari naomba kwa yoyote aliyewahi kufanyiwa upasuaji kwenye korodani anipe uzoefu wake kama kuna madhara yoyote maana kuna wanaosema kuwa ukifanya ni lazima utafanya tena. Ni kuondoa vivimbe kwenye korodani.
  4. M

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Asante kwa mfano siwezi tumia njia nyingine ya usafiri bei ikapungua kidogo.
  5. M

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    https://x.alibaba.com/AwI34v?ck=pdp Habari naomba uniangalizie hiyo simu pamoja na shipping itakua bei gani. Kwa company za shipping tofauti na hizo walionyesha wao.
  6. M

    Nchi ya Madokta (Phd's) wengi bila faida

    Hao ma Dr na Phd holder sio kwamba Wana akili ila walikua na uwezo mkubwa tu wa kukariri.
  7. M

    Sikia tu kwa mtu wakuu hichi kichapo cha goli 5 sijui tumeteleza wapi

    Wenzao walikua wakifanya scouting ya wachezaji wao wanawavizia uwanja wa ndege.
  8. M

    Udishe ni dawa ya nini

    Naomba kwa anayefahamu dawa inayoitwa udishe anijulishe na inapopatikana.
  9. M

    Fanya haya kuifanya sound system yako idumu kwa muda mrefu

    Habari naomba uelezee kidogo kuhusu sound bar kama unauzoefu nazo.
  10. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Habari wakuu naomba kuelimishwa jinsi ya kuweka hela kwenye hela bet natumia Airtel money. Nikiingiza inaandika
  11. M

    King'amuzi cha Azam kushindwa kufanya kazi vizuri wakati wingu na mvua

    Naomba kufahamishwa Tofauti ya king'amuzi cha antenna na dish ni ipi mfano labda kuna utofauti wa muonekano wa picha wingi wa Chanel nk
  12. M

    Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

    Naomba kueleweshwa kidogo, Kama Annunak walitengeneza binadamu ili kuwasaidia kuchimba dhahabu. Wao waliumbwa na nani na hizo sayari wanazotafuta dhahabu zilitengenezwa na nani au zilitokea tu?
  13. M

    Naomba kujuzwa Hospitali nzuri za IVF kwa Tanzania

    IVF Ni nn naomba kuelimishwa.
Back
Top Bottom