Naomba kueleweshwa kidogo, Kama Annunak walitengeneza binadamu ili kuwasaidia kuchimba dhahabu. Wao waliumbwa na nani na hizo sayari wanazotafuta dhahabu zilitengenezwa na nani au zilitokea tu?
Habari hivi naweza kuweka hela 22Bet kwa namba ya simu ambayo sio nilijisajilia? Mfano nimejisajili na no ya Airtel Nataka niweke hela kwa kutumia line ya voda.
Hivi Ni kwanini Tanroads mkoa wa Pwani ni Ni wazembe kiasi hiki? Kwa mfano ukipita barabara ya Bagamoyo kama unaelekea mikoa ya Kaskazini wamekata viraka ili wavizibe ila Ni kama wiki ya pili sasa vimeachwa hivyo hivyo.
Hi inatusababishia usumbufu Sana na uharibifu wa magari.
Ila hii Nchi Ni ya hovyo Sana shida yetu ilikua Ni bei ya vifurushi ipungue badala yake wamepandisha,sasa badala ya kurudi kwenye hoja yetu ya kupunguziwa bei sasa hivi tunomba virudi kama mwanzo inamaana mitandao ya simu ina nguvu zaidi ya serikali yetu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.