Habari naomba kwa yoyote aliyewahi kufanyiwa upasuaji kwenye korodani anipe uzoefu wake kama kuna madhara yoyote maana kuna wanaosema kuwa ukifanya ni lazima utafanya tena. Ni kuondoa vivimbe kwenye korodani.
https://x.alibaba.com/AwI34v?ck=pdp
Habari naomba uniangalizie hiyo simu pamoja na shipping itakua bei gani. Kwa company za shipping tofauti na hizo walionyesha wao.
Naomba kueleweshwa kidogo, Kama Annunak walitengeneza binadamu ili kuwasaidia kuchimba dhahabu. Wao waliumbwa na nani na hizo sayari wanazotafuta dhahabu zilitengenezwa na nani au zilitokea tu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.