Recent content by marwarwa

  1. M

    Nchi ya Madokta (Phd's) wengi bila faida

    Hao ma Dr na Phd holder sio kwamba Wana akili ila walikua na uwezo mkubwa tu wa kukariri.
  2. M

    Sikia tu kwa mtu wakuu hichi kichapo cha goli 5 sijui tumeteleza wapi

    Wenzao walikua wakifanya scouting ya wachezaji wao wanawavizia uwanja wa ndege.
  3. M

    Udishe ni dawa ya nini

    Naomba kwa anayefahamu dawa inayoitwa udishe anijulishe na inapopatikana.
  4. M

    Fanya haya kuifanya sound system yako idumu kwa muda mrefu

    Habari naomba uelezee kidogo kuhusu sound bar kama unauzoefu nazo.
  5. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Habari wakuu naomba kuelimishwa jinsi ya kuweka hela kwenye hela bet natumia Airtel money. Nikiingiza inaandika
  6. M

    King'amuzi cha Azam kushindwa kufanya kazi vizuri wakati wingu na mvua

    Naomba kufahamishwa Tofauti ya king'amuzi cha antenna na dish ni ipi mfano labda kuna utofauti wa muonekano wa picha wingi wa Chanel nk
  7. M

    Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

    Naomba kueleweshwa kidogo, Kama Annunak walitengeneza binadamu ili kuwasaidia kuchimba dhahabu. Wao waliumbwa na nani na hizo sayari wanazotafuta dhahabu zilitengenezwa na nani au zilitokea tu?
  8. M

    Naomba kujuzwa Hospitali nzuri za IVF kwa Tanzania

    IVF Ni nn naomba kuelimishwa.
  9. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Habari hivi naweza kuweka hela 22Bet kwa namba ya simu ambayo sio nilijisajilia? Mfano nimejisajili na no ya Airtel Nataka niweke hela kwa kutumia line ya voda.
  10. M

    Tanroads mkoa wa Pwani zibeni viraka barabarani

    Hivi Ni kwanini Tanroads mkoa wa Pwani ni Ni wazembe kiasi hiki? Kwa mfano ukipita barabara ya Bagamoyo kama unaelekea mikoa ya Kaskazini wamekata viraka ili wavizibe ila Ni kama wiki ya pili sasa vimeachwa hivyo hivyo. Hi inatusababishia usumbufu Sana na uharibifu wa magari.
  11. M

    Asanteni Halotel sasa kama mwanzo

    Ila hii Nchi Ni ya hovyo Sana shida yetu ilikua Ni bei ya vifurushi ipungue badala yake wamepandisha,sasa badala ya kurudi kwenye hoja yetu ya kupunguziwa bei sasa hivi tunomba virudi kama mwanzo inamaana mitandao ya simu ina nguvu zaidi ya serikali yetu?
  12. M

    Naomba kujuzwa hospitali bora ya uzazi kwa Moshi

    Kali kivipi mkuu Ni matatizo ya kawaida kwenye jamii au umeona Ni kitu cha ajqbu Sana.
  13. M

    Naomba kujuzwa hospitali bora ya uzazi kwa Moshi

    Naomba anayefahamu hospital nzuri kwa mambo ya uzazi. Kwa mfano kama mtu anahitaji kwenda kupima ubora wa mbegu za kiume.
Back
Top Bottom