Huku Serengeti kwanza hatuamini km Nyambabe anaweza kufanya uhuni huu,awali niliwahi kusikia njama zake za kumpepenea mtia nia mmoja dhaifu wa Chadema ili kupitia mtia nia huyo dhaifu,Nyambabe aweze kuonwa yy ni zaidi.Nyambambe kwetu cc Serengeti ni aina ya wanasiasa dhaifu kimkakati,kazi yke ni...