Recent content by martingao74

  1. M

    CCM kuandamana Aprili 26 kumpongeza Rais Dkt. Magufuli

    Hawataenda kwenye sherehe za muungano??
  2. M

    Hawa sokwe/nyani wa siku vipi? Mbona hawabadiliki kuwa watu?

    Mpaka miaka million tatu ijayo Kama utakuwepo utashuhudia!!
  3. M

    Dr. Ayub Rioba atoa Mwelekeo wa TBC kwa Mwaka 2018. Kufikisha viwango vya juu kiwango cha BBC

    Ajitahidi tu kuifikia TBC ya Tido Mhando angalau itatosha!!
  4. M

    Mbunge wa Jimbo la Siha, Godwin Aloyce Mollel(CHADEMA) ajivua wadhifa huo na kuhamia CCM

    Kweli nimeamini,kuna watu wanaenda Shule kuchukua vyeti tu sio kutafuta maarifa,.eti "Doctor"!!!! Kweli???
  5. M

    DR Congo: Vikosi vya kulinda amani vyashambuliwa, wanajeshi 14 wa Tanzania wauawa, 44 wajeruhiwa & 2 hawajulikani walipo

    Congo ndo kaburi la wanajeshi wetu!!Hakuna manfaa Kwetu!!! Askari wetu warudi nyumbaji
  6. M

    Mauaji ya mara kwa mara ya wanajeshi wa JWTZ huku Congo, kuna mkono wa Rwanda?

    Kuna manufaa gani kuweka wanajeshi wetu kongo??Warudi nyumbani!!Anae nufaika aende yeye na wanae!!
  7. M

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Kwetu sio wavivu, wapigadili hakuna ,tatizo hakuna kazi,tumelima mvua hakuna,mito ya kumwagilia hakuna,kuchoma mkaa marufuku,tumefuga kuku wa kienyeji wameshuka bei, eti siku hizi huko mjini hamli kuku,mnasema hela zimesepa!!!kwahiyo tukilia hatuna pesa sio kwamba hatufanyi kazi,
  8. M

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Uko kwenye kampeni ,au ????
Back
Top Bottom