Recent content by Martin Mayala

  1. Martin Mayala

    Ukawa ndani ya babati

    Maandalizi ya mapokezi yanaendelea sasa
  2. Martin Mayala

    Ni afadhali Mh Rais avunje Bunge ili tupate katiba bora zaidi

    Huna hata aibu kijana. Hebu jaribu kuweka kwenye mizani ya elimu nani zaidi kati ya hawa; Mbowe Vs Stephen Ngonyani (Mganga wa Kienyeji) Lema Vs Lameck Yairo Hao ni wachache tu kwa kukumbusha kuwa Mbungeni mmejaza wapiga makofi si watengeneza hoja za Msingi kwa maslahi ya Taifa letu. Wabunge...
  3. Martin Mayala

    M4C chini ya kamanda Mawazo yaibomoa tena CCM Kwimba

    Pole sana MwanaGamba, kama ni zigo la nyanya mbovu Mbona mmeshindwa kupata nyanya mbivu kuchukua nafasi yake Sombetini. Inawauma sana kumwona kijana anazidi kuwaharibu kila kona anakopita. Kaza buti Kamanda Mawazo, ukimaliza Kwimba shuka na Missungwi tuwamalize kote waliko hawa Magamba. Bukumbi...
  4. Martin Mayala

    Tetesi: Uteketezaji wa Maboma Vilima Vitatu ni Agizo la DC

    Kati ya matukio yanayosikitisha sana kwa jamii za wafugaji ni hili tukio la hawa wafugaji wa vilima 3. Hali waliyonayo ni mbaya sana kwani vitu vyao vyote viliteketea kwenye nyumba zao na hayo yote ni kulinda maslahi ya wawekezaji ambao wanakula sahani moja na kugongeana glass za vinywaji na...
  5. Martin Mayala

    Halmashauri ya Manispaa ya Musoma Yatoa Mikopo kwa Vikundi vya Ujasiriamali kwa Kata Zake Zote 13

    Hongereni wanamusoma na simamieni vizuri mikopo hiyo ili ionyeshe utofauti na zile zilizotolewa kama hongo kwa jina la Mabilioni ya JK na kunufaisha watu wachache. Toeni elimu stahiki kwa vikundi vyote vilivyopata mikopo hiyo ili iweze kuwasaidia na waweze pia kuzirejesha na kupatiwa vikundi...
  6. Martin Mayala

    Kauli ya Mh Sitta kuhusu wahamiaji haramu sikuungi mkono

    Kauli ya Mwl. Nyerere kila kukicha inadhidi kudhihirika kwa watanzania kuwa CHAMA LEGELEGE, HUZAA SERIKALI LEGELEGE. Kinachotokea kwa serikali hii ya chama dhaifu ndicho kinachofanywa na viongozi wake kupitia chama hichohicho. Mara akatae viti maalum wakati mke wake nae ni mnufaika wa vitu...
  7. Martin Mayala

    CHADEMA,dhambi hii itawatafuna katika uhai wenu,mwanaisasa huyu amewakosea nini?

    Pole kijana mwenzagu, CHADEMA tamu sana kwani naona mpaka sasa unakosa hata usingizi kwa kufikiria utaisemea namna gani. Utazidi kujutia uamuzi wako wa vijisenti na kuusaliti umma na CHADEMA itaendelea kusonga mbele hata kama kila dakika utaleta hapa JF post za kukaririshwa na magamba wenzako...
  8. Martin Mayala

    CHADEMA yaigaragaza CCM

    Kwa wale mnaoendelea kuaminishwa na propaganda za watawala kuwa CHADEMA kinachukiwa na watu, basi fikirieni upya na jipangeni vizuri kwani moto wa chama unazidi kuwaka na kumulika kila kona. Uchaguzi mdogo wa kiti cha mwenyekiti wa mtaa wa Maisaka Kati Jimbo la Babati Mjini mkoa wa Manyara ni...
  9. Martin Mayala

    CHADEMA watawaambia nini watanzania 2015?

    Mtahangaika sana kuipaka matope CHADEMA, lakini kwenye mioyo ya Watanzania hamtaweza kuitoa. Fitina, hujuma na girba zote mnazofanya dhidi ya upinzani wananchi wanaona na wanasikia. Sasa kama mnafikiri mnaimaliza CHADEMA, poleni sana
  10. Martin Mayala

    Tanzia: Mwenyekiti wa CHADEMA tawi la Tambuka Reli, afariki Dunia

    Poleni sana wana Geita kwa msiba huo, tumwombee apokelewe kwa amani huko aliko nasi aliotuacha tuendeleze mapambano mpaka Magamba yasahaulike
  11. Martin Mayala

    Usafiri kwa njia ya Mabasi Tanzania pamoja nauli zake (kutoka UBT na Mikoani)

    Dar - Babati kupitia Singida kuna Mtei Express na Polepole Classic - 30,000
  12. Martin Mayala

    Usafiri kwa njia ya Mabasi Tanzania pamoja nauli zake (kutoka UBT na Mikoani)

    Arusha - Mwanza mabasi yote ni 30,000 ila Moshi - Mwanza ndio 35,000
  13. Martin Mayala

    Toa maoni yako kuhusu picha hizi. umeelewa nini?

    Ukiona Kiongozi wetu amepewa sifa na Nishani kama huyo Mzee, jua kinachofuata hapo ni Kampuni za Kichina kupewa tender hapa nchini. Nchi imemegwa tayari
  14. Martin Mayala

    Aibu ya mwaka kwa Mwigulu

    Rage na Mwigulu si wote Mbumbula tu, akili zao zinalingana kwani kama Msomali angejua thamani ya timu ya Simba asingeweza kuidhalilisha kwenda kuhujumu mawazo ya Watanzania. Lakini kwa vile Chadema ni mpango wa Mungu, ndio maana walishindwa kufika kwa muda waliopangiwa na Gaidi Mwigulu na Al shabab
  15. Martin Mayala

    Kamanda Mawazo kuwasha moto Muleba kusini kuanzia leo 18/08/2013

    Mpaka kieleweke Kamanda, nakutakia kazi njema ya kukijenga chama na baada ya huko Muleba karibu sana Missungwi tulianzishe libeneke
Back
Top Bottom