Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Mwenyekiti wa CHADEMA tawi la Tambuka reli,kata ya Kalangalala mjini Geita kamanda AMOS MASANJA amefariki Dunia kwa kugongwa na gari juzi na mazishi yamefanyika jana jioni.
Bwana AMOSI MASANJA atakumbukwa kwa mambo mengi na mazuri aliyoyafanya ndani ya chama kiwa ni pamoja na kuendesha kampeni za nguvu kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 na kuwezesha CHADEMA kushinda udiwani wa kata ya Kalangalala chini ya PETER DONARLD N'GWENESHO ambaye aliwaongoza makamanda kwenye mazishi akiwemo Mbunge kivuli CHADEMA na katibu wa wilaya ya Geita Kamanda Rogers Ruhega,mjumbe wa kanda ya ziwa magharibi kamanda DAUD NTINONU na wengineo.
RIP Kamanda.
Bwana AMOSI MASANJA atakumbukwa kwa mambo mengi na mazuri aliyoyafanya ndani ya chama kiwa ni pamoja na kuendesha kampeni za nguvu kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 na kuwezesha CHADEMA kushinda udiwani wa kata ya Kalangalala chini ya PETER DONARLD N'GWENESHO ambaye aliwaongoza makamanda kwenye mazishi akiwemo Mbunge kivuli CHADEMA na katibu wa wilaya ya Geita Kamanda Rogers Ruhega,mjumbe wa kanda ya ziwa magharibi kamanda DAUD NTINONU na wengineo.
RIP Kamanda.