Ndugu kishada 4
Hayo maisha ya uvumilivu unayozungumzia ndio yalimshinda mke wangu, nilisimangwa sana, nilikua narudi jioni naulizwa umerudi na hela au umerudi na suruali tu kama ulivyoivaa asubuhi?
Sio kila mwanamke anaweza uvumilivu, mtihani huo mke wangu alishaushindwa
Sijasema nataka kumuacha mke wangu, naangalia the best option out of this crisis
Mimi wakati mwingine wanawake nashindwa kuwaelewa huwa mnataka nini hasa, maana wakati sijaanza mahusiano na dada mwingine, mke wangu alikua akinisema vibaya, kwamba hivi tutaendelea kupanga hadi lini?
Siku...
Habari zenu,
Watu wa MUNGU mimi ni mwalimu wa secondary, nina mke ila hatujafanikiwa kupata mtoto, pia nina fanya masters evening session katika field nyingine na sio education, lengo niondoke kwenye area hii ya ufundishaji yenye malipo kidogo.
Kwenye hii shule ninayofanyia kazi kuna mtoto wa...
How Israel Wants To Soup Up Its Fleet Of F-35s
Israel has done amazing things with their imported U.S. fighter aircraft, innovating and tailoring their capabilities to meet their unique needs. They want to continue this legacy with the F-35. Part of this initiative now includes the ability to...
Baada ya Kasich kujitoa kwenye mbio za urais na hivyo kuweka mazingira ya Donald Trump kunyakua tiketi ya chama kwenye uchaguzi mkuu, Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza ameonekana kusikitishwa na ushindi huo wa Donarld Trump na kusema upo uwezekano mkubwa wa nchi za magharibi kutengwa kutokana...
Mr devcon umesema maneno mazuri, Ingawa hukuipata dhana nzima ya maelezo yangu
Muktdha wa maelezo yangu kwa mtoa mada ilitokana na sifa alizozitoa kwa jambo ambalo ni la kawaida kabisa katika masuala ya kijeshi, ni sawa na mtu kujisifu anamiliki panga, watu watamshangaa mtu huyo
Kama sifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.