Recent content by Martin Kemosabe

  1. Martin Kemosabe

    Msaada wa kudownload series (all in one)

    Kama yupo ataeweza nisaidia kujua namna ya kudownload series all in one package nitafurahi sana, site nyingi ninazoingia series inanibidi nidownload episode 1 moja jambo ambalo linanichosha. Naomba mwenye kujua site ambayo naweza download mfano prison break zote ziwe kwenye singo torrent...
  2. Martin Kemosabe

    Msaada jinsi ya kudownload Movie na Series za Kifilipino

    asante ngoja nijaribu nione
  3. Martin Kemosabe

    Msaada jinsi ya kudownload Movie na Series za Kifilipino

    Kuna series nazitafuta mfano kama Asintado Pusong Ligaw na nyingine nyingine nyingi tu za kifilipino. Nimezunguka huko kutafuta jinsi ya kuzidownload naona chenga tu sielewi kitu naomba mwenye uzoefu na kujua namna ya kufanya ili niweze fanikisha hili USER=403420]Numbisa[/USER] naomba upite...
  4. Martin Kemosabe

    TECNO C9 = 90,000

    Haina tatizo lolote simu imesimamia ukucha, ilivunjika kioo ikabadilishwa kwasasa simu imekua mpyaaa kama imetoka dukani. Mawasiliano karibu PM Location: Dar-es-salaam
  5. Martin Kemosabe

    Mjadala: Nandy na Zuchu nani mkali?

    Zuchu bado hatujakaa nae muda mrefu,tusubiri nae amalize mwaka au miaka ndio tuanze kumuweka kwenye battle na wenyeji gemuni
  6. Martin Kemosabe

    Mwenye Picha ya Karantini (quarantine) wanapopelekwa ndugu zetu atuonyeshe

    Nimeperekenyua kila mahali kujua wanapopelekwa ndugu zetu ki ukweli hadi sasa hivi sijajua wanapelekwa wapi,J ana mtaani nyumba ya jirani wamebebwa nyumba nzima wapangaji zaidi ya 7 na familia zao eti kisa tu hiyo nyumba kapatkana mgonjwa mwenye korona mmoja, kwa wingi wa wale wapangaji...
  7. Martin Kemosabe

    Salama J vs Millard Ayo: Yupi ni mkali zaidi akifanya interview na msanii?

    Mzazi anaweza akakukuta unasikiliza redio akitangaza salama au millard akakuacha,ila akikukuta unamsikiliza LIL OMMY redio itazimwa hapo hapo utaambiwa ondoka kafanye mambo mengine,unaweza nisaidia kuniambia ni kwann redio haikuzimwa wakati nikiwaskiliza millard na salama ila LIL OMMY redio...
  8. Martin Kemosabe

    Salama J vs Millard Ayo: Yupi ni mkali zaidi akifanya interview na msanii?

    LIL OMMY vs DJ FETTY hapo nadhani ndio tupate mpambano
  9. Martin Kemosabe

    Salama J vs Millard Ayo: Yupi ni mkali zaidi akifanya interview na msanii?

    Lil Ommy tukimpambanisha na DJ Fetty unasemaje kuhusu hilo? atakua kapata mtu sahihi wa kushndanishwa nae?
Back
Top Bottom