Recent content by martin ben

  1. martin ben

    RC Makalla kama wamachinga Kariakoo umeshindwa kuwaondoa ndio utawaweza akina Shabiby, El Saedy na ABC pale Manzese?

    Wakati anaua watu we ulikua wapi mpka hukuuawa? Au ulikua kundi moja na na yeye ndio maana umebaki!?
  2. martin ben

    RC Makalla kama wamachinga Kariakoo umeshindwa kuwaondoa ndio utawaweza akina Shabiby, El Saedy na ABC pale Manzese?

    Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, dar ya Makonda tofauti na dar ya Makalla lazima tukubali.
  3. martin ben

    Walioshangilia kifo cha Saddam Hussein na kifo cha Muamar Gadaff mpaka leo wanajuta

    Wewe uliyaishi maisha ya Nyerere kiuhalisia au kihistoria???
  4. martin ben

    Deus Kakoko afikishwa TAKUKURU. Alikuwa "Untouchable" kwenye Utawala wa Jiwe

    Serikali ikianza kufukua makaburi hakuna msafi sababu hata viongozi wa leo walikuwepo jana na hakuna aliyeonyesha uzalendo kwa kuyaacha madaraka yake kwa maslahi ya nchi.
  5. martin ben

    Aibu, Ghana ilijenga Pokuase flyover kwa dola 94M wakati Tanzania imejenga daraja la Kijazi kwa dola 100M. Wote walitumia mikopo. Fananisha picha

    Kama limemaliza tatizo la folen bas wamefanikisha malengo, swala la pesa kupigwa hata ww ukipewa kandarasi ya kujenga hata nyumba huwez ukatumia pesa zote ulizoomba ktk bajeti.
  6. martin ben

    Kitanda cha kukunja(camping bed)

    Upo tabata gan mkuu? Mi nahitaji vitanda kwa ajili ya migodini
  7. martin ben

    Waziri Mwambe: Mazungumzo ya ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kuanza rasmi

    Hawez kujibu anahamisha magoli tu
  8. martin ben

    Waziri Mwambe: Mazungumzo ya ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kuanza rasmi

    Tuliaminishwa kuwa tukikataa hiyo fursa ya kujengewa hiyo bandari wachina wangehamia Kenya na kujenga bandari ambayo ilitakiwa ijengwe dsm, tukaaminishwa kuwa serikali ya Kenya wapo tayari kwa huo mradi lakini sijui kama kuna kinachoendelea huko Kenya. Kabla ya kusaport vitu kwa mihemko na...
  9. martin ben

    Waziri Mwambe: Mazungumzo ya ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kuanza rasmi

    Kama tuliaminishwa kuwa hayati Magufuli anabana pesa ila akiondoka madarakani pesa zitamwagika mtaani lkn tunasuhudia sasa hivi hali imekua ngumu zaidi. Kushabikia ujenzi wa hiyo bandari pasipo kujiridhisha kwa hiyo mikataba ni uzwazwa. Bandari ya DSM haijashindwa kupokea mizigo bado...
  10. martin ben

    Huu ni mgao wa umeme au mabwawa yamekauka?

    Acha tuone izo chuki km zitatatua haya matatizo yanayojitokeza sasa
  11. martin ben

    Huu ni mgao wa umeme au mabwawa yamekauka?

    Ifike kipindi tuache siasa tuzungumze ukweli km ni nyeusi isemwe ni nyeusi na isilazimishwe kuwa nyeupe
  12. martin ben

    Huu ni mgao wa umeme au mabwawa yamekauka?

    Watu wakilalamikia matatizo ambayo tulishayasahau wanaitwa sukuma gang, Yan sijui kuna kikundi cha watu kimeundwa kwenye mitandao kusifia tu!
Back
Top Bottom