Waziri Mwambe: Mazungumzo ya ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kuanza rasmi

Sasa mkataba unasema kudhoofisha bandari zinginezo kwa kipindi yenyewe ikianza kazi! Unategemea nini kama meli zote kubwa zitapitia Bagamoyo port!?
Uliuona huo mkataba, CAG aliomba akanyimwa , kumbe haukuwepo yalikuwa tu majadiliano ya awali yanaendelea.. Hayati akatoka hadharani kuudanganya Umma. La msingi tusubilie majadiliano yatakavyoanza sio kuongopea wananchi
 
Uliuona huo mkataba, CAG aliomba akanyimwa , kumbe haukuwepo yalikuwa tu majadiliano ya awali yanaendelea.. Hayati akatoka hadharani kuudanganya Umma. La msingi tusubilie majadiliano yatakavyoanza sio kuongopea wananchi
Hayo majadiliano pia mtapigwa kamba vile vile! Kwani yale majadiliano ya kishika uchumba yalikuwaje?
 
Sasa mwendazake yale maneno aliokuwa anadanganya Umma wa Watanzania aliyatoa wapi , kwa maelezo haya ya Mwambe naamini kwa asilimia mia 100 yule mzee hakuwa na nia ya dhati kutusaidia watanzania... Halafu anasema msema kweli mpenzi wa mungu... hakika tutaendelea kumshukuru mungu.

We Mzima Kweli. Kwanini unapenda kuishi kindoto. Huyo mwenda zake alianza na uwaziri na then akawa Rais. Amefanya mengi sana ambayo huwezi tilia mashaka uzalendo Wake. Wewe umefanya nini hata kwa jirani yako.

Unahitaji mkataba kujua mtu wa nchi nyingine anataka nini anpotaka kufanya biashara nawe. Toa mfano mmoja tu ambao katika miaka hii Mchina anaonekana kupenda wengine zaidi yake. Wenzako wanafikri sana. Nenda Zambia. Soma historia.
 
Waziri wa uwekezaji Mr Mwambe amesema hakuna mkataba wowote uliosainiwa hapo awali kuhusu bandari ya Bagamoyo zaidi ya minutes tu za vikao.

Mwambe amesema serikali itaanza rasmi mazungumzo na Oman na China ikiwa na maagizo ya Rais Samia baada ya kuwa amezipitia nyaraka zote.

Chanzo: ITV habari
Hili Jambo kunamtu litakuja kumtoa uhai huko mbele, nawaza tu kwa kuandika....
 
Aliekuwa anatupiga kamba ameshaondoka, maana alikuwa anatudanganya miradi kibao anajenga kwa fedha za ndani... ndio maana bado unawenge la kudanganywa...
Sawa wacha tuone hawa mafisadi papa watakuwa na lipi jema! Maana aliekuwa walau ana unafuu ameshadanchi
 
We Mzima Kweli. Kwanini unapenda kuishi kindoto. Huyo mwenda zake alianza na uwaziri na then akawa Rais. Amefanya mengi sana ambayo huwezi tilia mashaka uzalendo Wake. Wewe umefanya nini hata kwa jirani yako.

Unahitaji mkataba kujua mtu wa nchi nyingine anataka nini anpotaka kufanya biashara nawe. Toa mfano mmoja tu ambao katika miaka hii Mchina anaonekana kupenda wengine zaidi yake. Wenzako wanafikri sana. Nenda Zambia. Soma historia.
Wewe ndio sio mzima, unadhania mimi niliamini yale maneno ya Hayati.. Mtu ambaye katiba tu ya nchi aliikanyaga, atashindwa kudangaya..
 
Sasa bado najiuliza hivi ilikuwaje kwa Rais Kikwete tarehe 16/10/2015 pale bagamoyo aliweka jiwe la msingi la kuanza kujengwa bandari hiyo ya Bagamoyo ikiwa mkataba ulikuwa bado haujasainiwa?

Hawa jamaa wanatufanya sisi mazuzu.
Siyo mazuzu tu mazwazwa, yaan kunawatu wanatia hasira mpka unajiuliza au si wtz?? Ni watu wamekodiwa kutoka mataifa mengine?? Wanachofanya Ni kuuwa raia kwa kisingizio Cha maendeleo, hyo bandari hyo sijui... Kunakitu Kiko nyuma ya pazia, isije kuwa yalikuwa makubaliano baada ya zile tuhuma za China, akapewa... Ila kunasiku kitanuka tu!! Hata kitamu huchacha
 
At last, dalili za mradi wa Bandari ha Bagamoyo sasa zimeanza kuonekana.

Taarifa ya Habari ITV, saa mbili ya jioni hii Waziri wa Biashara na Uwekezaji , Ndg Mwambe, ametamka kuwa maongezi karibu yataanza juu ya utkelezaji wa agizo la Rais Samia kupitia mambo yote yaliyoongelewa katika hatua za awali na kama kulikuwepo na mkataba.

Waziri Mwambe amesema HAKUNA mkataba wowote uliokuwepo kati ya serikali na wawekezaji toka China, na mawasiliano yataendelea ili mradi huo ufikie hatua za utekelezaji.

MY TAKE
Tumerudi nyuma sana katika miaka hii sita iliyopita, tugange yajayo, yaani uchumi endelevu, yaliyipita si ndwele.
Kwa mswahili uliye Bagamoyo, tunza arhi yako kama mboni ya jicho,” Kurasini” ya pili yaja.
Y bagamoyo?? What is the huge issue in bagamoyo? Something hidden agenda..
 
Uliuona huo mkataba, CAG aliomba akanyimwa , kumbe haukuwepo yalikuwa tu majadiliano ya awali yanaendelea.. Hayati akatoka hadharani kuudanganya Umma. La msingi tusubilie majadiliano yatakavyoanza sio kuongopea wananchi
Ndiyo maana ata jiwe la msingi likawekwa eti kulikuwa na mazungumzo ya awali?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unazidi kuonyesha ujinga wako, tozo wanalipa CCM tu!?,wachina wakianza kurudisha gharama zao kwa miaka 99 watakuwa wanalipa CCM tu!?, chadema anayeishi nanjilinji na ikwiriri mkulima katiba mpya inamsaidia nini!?,endeleeni na upumbavu wenu mliolishwa na wanasiasa.
Ujinga mmeonyesha nyinyi maccm kwa kuwapa Kinga za kutokushitakiwa ndio maana wanawafanyia ujinga mwingi wa matozo. Katiba mpya ndio utakuwa mwisho wa haya maujinga
 
Kama tuliaminishwa kuwa hayati Magufuli anabana pesa ila akiondoka madarakani pesa zitamwagika mtaani lkn tunasuhudia sasa hivi hali imekua ngumu zaidi.

Kushabikia ujenzi wa hiyo bandari pasipo kujiridhisha kwa hiyo mikataba ni uzwazwa.

Bandari ya DSM haijashindwa kupokea mizigo bado inajitosheleza, bandari za mtwara na tanga zipo wazi.

Sidhani kama tuna uhitaji wa bandari zaid kwa sasa.
 
Kipindi fulani kwenye issue za negosition kama hizo unakuta timu kama wakina Dr. Chamuriho ambae aliongoza timu ya negosition mradi wa SGR, Ununuzi wa ndege pamoja Bwawa la Mwalimu Nyerere ila kwasasa anaonekana hafanyi kazi vizuri chini ya Rais Samia, pembeni ungemkuta Marehemu Mfugale, wingi ya kulia ungemkuta Engineer Kakoko then unakuta watu wa Tanroads, watu sheria, etc na ao wote walikuepo kwenye ile team ya mwendazaje iliyosema kwa masharti haya hapana kama vipi yakwetu ni haya hamtaki rudini mkajipange tena.

Lakini safari hii tarajia kukutana na wanasiasa na wanadriplomasia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana huyu analihenyesha taifa,heri wangemfanya Kama wanavyofanya wengine.
 
Tuliaminishwa kuwa tukikataa hiyo fursa ya kujengewa hiyo bandari wachina wangehamia Kenya na kujenga bandari ambayo ilitakiwa ijengwe dsm, tukaaminishwa kuwa serikali ya Kenya wapo tayari kwa huo mradi lakini sijui kama kuna kinachoendelea huko Kenya.

Kabla ya kusaport vitu kwa mihemko na kisiasa tutafakari kwa maana maumivu yatakua ni ya watanzania wote.
 
Waziri katoa maelezo mazuri sana kwenye kujibu maswali asa kwenye finance, be it alianza na blah blah za mambo ya economic benefit ambazo tushaimbiwa sana.

Bila ya maswali ya waandishi key information asingeelezea, binafsi nimependa majibu yake yana kina. I

Swala la msingi lipo pale pale maelezo yake na ya Kakoko hayana tofauti kwenye terms za payback period ya mkataba kwa kutumia hizo hizo economic models zao.

Apparently payback period ni between 15-30 years the latter being worst case scenario. Wachina wanataka kuendesha bandari for 99 or is it 66 years regardless of when they get their investment and profit back.

Na upande wa logistic na industry Park serikali ilikuwa aina shida mchina ata kesho akitaka kujenga aende alishaambiwa subject to Tanzania invest laws.

Hizo ndio zilikuwa conditions ambazo mchina azitaki anataka special concession kwenye logistic and industrial park na ziwe sehemu ya mkataba na bandari apewe muda zaidi; hizi ndio sababu zilizomfanya aingie mitini.

Kidali, kinabaki what is the government willing to compromise ili kumrudisha mchina mezani.

Mbele giza, msoga yeye piga ua bandari ijengwe; kuna watu wanatakiwa wamwambie JK ukweli stay out of Tanzania politics baki mshauri tu humo CCM vinginevyo analazimisha vitu vyenye madhara ya muda mrefu sana he is very short sighted.
 
Back
Top Bottom