Recent content by Marshmello

  1. Marshmello

    Elimu ya kurithi ilivyoua uwezo wetu

    Hakuna sehemu sayansi 'elimu ya mzungu' inayosema mwanadamu alitokana ns sokwe, walimu wenu wa UPE waliwapoteza. sisi waafrika bongo zetu zina shida ndio maana matatizo yetu yote tumeshindwa kuyatafutia ufumbuzi
  2. Marshmello

    Kuna mtu ananiuzia pixel 6a mpya kwa 450,000. Ni sahihi thamani hii au napigwa?

    Hakuna pixel inayoitwa pro 7a, kuna 7, 7a na 7pro
  3. Marshmello

    Nikimwona mtu mitandaoni au mahali popote anamtukuza Magufuli najua tu kichwani hamnazo au alikuwa mnufaika kwenye utawala wake

    sijui kuhusu Tanzania nzima ila nina uwezo wa kukutajia viwanda 200 vilivyoaanza kutengenezwa mkoa wa pwani kati ya mwaka 2016 mpaka 2021. Ingawa kiuhalisia ni viwanda vya wachina, wahindi na waarabu kwahiyo usituambie viwanda havionekani wakati umekaa gheto kwako unachezea simu
  4. Marshmello

    Yamepotelea wapi makundi ya WhatsApp ya madada poa?

    Asamehewe kwa kwa sababu gani!!? ukweli utabaki ukweli tu, kwa sasa malaya wengi wastaafu wanahudhuria sana haya makanisa yanayohubiri miujiza na moja ya target yao ni kama iliyotajwa hapo juu[emoji115]
  5. Marshmello

    Trump ataka Bajeti ya kijeshi ya $1.5 Trillion mwaka 2027, kutoka $901 Bilioni mwaka 2026

    1.5 trilion ya trump ni sawa na 3.7 kuadrilioni ya samia
  6. Marshmello

    Yupo wapi Abdulhalim Hafidhi Ameir?

    lakini sijawahi kusikia familia ya Nyerere, Mwinyi au Magufuli ikiattackiwa
  7. Marshmello

    Mke wangu anategemea house girl afanye majukumu yote kisa tu tunamlipa ki 50,000

    Mimi miaka 16 nilikuwa kidato cha nne, nilikuwa nina uwezo wa kufua vizuri, kunyoosha nguo, kuweka sawa mazingira yangu ya ndani na ya nje. Miaka 16 ni dogo ila sio kwa kiasi cha kufikia kushindwa kuzingatia usafi wa mwili wake
  8. Marshmello

    Bima ya Afya inatakiwa kuwa ni ya Serikali tu. Mfano watu milioni 62 wakilipa kwa mwezi shiling 2000. Angalia hapa

    iyo bajeti ya Msd ni ya mwaka ivyo kwa hesabu za mwamba hapo ni 128B×12=1.5T ambayo ni mara mbili ya bajeti ya msd. Ni kweli mambo sio marahisi kihivyo kama walipo kodi tu kwenye nchi hii hawazidi hata milioni 20
  9. Marshmello

    Ofa ya viwanja Kibaha kwa Mathias

    Huo ukubwa umetumia kipimo gani? Tuwekee ukubwa wa kiwanja kwa square meters
  10. Marshmello

    PostGE2025 Askofu Bagonza: Wamekuja Gen Z Wametikisa misingi, Risasi haiwapunguzi, inawaongeza Mabomu ni mbolea yao Wanahitaji kusikilizwa siyo kuhutubiwa

    Wanafalsafa wakubwa kama Imanuel kant, Wittgenstein wanaheshimika kwa kuibadilisha dunia ila hawajawahi kuoa wanasayansi wakubwa kama Isaac Newton, Nikola Tesla etc wameibadirisha dunia ila hawajawahi kuoa wanasanaa kama leonardo Da'vinci nao pia ni hivyo hivyo Anguko la mtu yeyote linaanzia...
  11. Marshmello

    Tunaweza kupata viwanja kwenye Bahari ya Hindi

    Mapori hayajaisha ila kibaha na bunju huko ni nje ya mji population ya kata ya mbagala tu huwezi kuifananisha na hizo wilaya za pwani Drainage system ya kilwa road!!?? au unamaanisha drainage system ya temeke? mitaro ya kilwa road na mandela road inapeleka maji baharini, sijui wewe unadoubt nini
  12. Marshmello

    Tunaweza kupata viwanja kwenye Bahari ya Hindi

    Pemba mnazi ile imekaa kama mkuranga zaidi kuliko kigamboni. kurasini hapo ni mjini, naunga hoja survey ifanyike tufanye reclamation kama uholanzi
  13. Marshmello

    Kanisa Katoliki na Tsh Bilioni 19

    Tuambie wewe ni nani tajiri zaidi hapa Afrika mashariki na kati? na vyanzo vyako ni vipi?
  14. Marshmello

    Bei za TV brands tofauti tofauti tofauti

    TCL 43 google tv ipo? zingatia google tv
Back
Top Bottom