Hiyo pesa ni rahisi kuitaja pia ni ngumu kuitoa. Ukizungumzia ghalama naona unakosea kwa sababu duniani hapa Everything has price na hiyo ndo kanuni.
Hiyo pesa amelenga sana watu wenye uwezo mkubwa na hakujali watu wa chini. Ni ngumu sana kutoa 100k kwenda kununua maneno ya masaa 8. Wakati...
Vita vya panga,haviingiliwi na fimbo. Ilata mda elimu ya fedha umeongea point sana nikupe pongezi.
Ila umekuja kualibu kitu kimoja tu ambacho wananchi wenye hasira Kali hawataki. Kiwango Cha pesa ulichosema kwenye semina yako ni kikubwa sana na si Kila mmoja wetu anaweza kuwa nayo...
Kiukweli hii tabia yao iliniumiza sana demu nayempenda alinipotezea alilinganisha kipato changu na washkaji wengni mwisho wa siku akasepa.
Nilipambana sana kutafuta pesa yaani nikiamini mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyew mpaka sasa imepita miaka zaidi ya Saba juhudi hazijawai kumtupa mtu...
Watu wengi hawapendi kujifunza kwenye asili za Siri za ulimwengu huu kwani Toka wanakuwa wanaanza kulishwa uwongo kwenye akili zao na kupitia huo uwongo unaenda kutengeneza Imani ndani mwao.
Kwa mtu mwenye mindset ndogo sana ya akili atafikilia unakufulu. Ila wajanja wa philosophy za kale...
Sanduku la agano inasemekana lipo pale Maka chini ya ardhi yake ndipo lilipohifadhiwa tangu kizazi na kizazi. Ndo maana mahala pale ni patakatifu hadi Kesho
Sawa na vipi ulipowasikiliza ulifanya kipi Cha kuwasaidia..? Mimi sioni Kuna maana yeyote ya kujaza medula oblangata kumbukumbu ya matukio ya watu waliyopitia kwenye maisha. Hiyo ni nonsense Tafuta sana pesa broo ili achana na hivyo vitu ni umbea maana hawajakuluhusu kusema mbele za watu
Hi
Unayo degree ya miaka mingapi ya Bachelor maana naona upo single mpaka sasa nyeto ndo zinakufaliji kijana...
Ukisikiliza udaku kama huu kwa wanawake utakuja kuota maziwa maana hivyo viumbe ni waongo kupitiliza maisha yao ni bongo movie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.