njia nyepesi ya kukwepa kodi ni kuwa mzigo ukifika usikwende kuuchukua achana nao. hapo hautolipa kodi mkuu.
kumbuka nchi hujengwa na mwananchi. lipa kodi kwa maendeleo ya nchi
wandugu nikinunua gari ya mwaka 2005 toka japan kwa dola 3000, ntaisafirisha kwa gharama gani na gharama za kuitoa je mpaka inifikie zitafika kiasi gani? naombeni msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.