Mbona kama Yericko Nyerere amepaniki huyu jamaa nimeanza kumkataa tangu makengeze atolewe wenyekit amekuwa kigeu geu sana pia naona kigogo nae kamtaja kuwa shahid huende mzandiki Yericko Nyerere alikuwa anatutafuna ndan kwa ndan
Kimsingi wanaume sio waongeaji sana na mwisho huwa hawasemi yote ya moyon ndo maaana mara nyingi rungu linawashukia ila ki ukweli wanawake ni changamoto anaeza ropoka mtoto sio wako na bado akawa anadai matumiz ya mtoto pia wengi hutumia watoto kama fimbo
Haya mambo si ya kushabikia sana kwa kuwa hamna anaejua ukweli inakuwaje kama hapa kwenye jukwaa tunahukumu jambo la kutengeneza?nan anajua historia ya babu sea je wangap walihukumu je ni wangap walipojua ukweli walitubu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.