Kuhusu nana alisemea tumtakie rehma mtume Muhammad (s.a.w) ni Mungu mwenyewe ktk kitabu tukufu amesema
Hakika ya allah na malaika wake walimtakia rehma mtume muhammad, na baada ya hapa akawataka walioamini tumtakie rehma na amani mtume Muhammad. Suala kumtakia rehma na amani ni jambo adhimu...
Wakati nasoma alichokiandika nikaona Kama ni Mimi niliyeandika kwa asilimia kubwa tunapitia hali moja kiasi kwamba hata ndugu zangu huwa nawaogopa kukaa nao karibu tumetofautiana kwenye suala la kua na nafsi nyingine sometimes huwa naichukia hii hali lakin sijui hata nasolve vipi hili tatizo langu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.