Mkuu hiyo lesen au vyet siyo kama cheti cha o level au chuo. Unatakiwa ukfanyie update kila baada ya mda fulan kwa kusoma kozi maalumu siyo kisa una cheti ndiyo basi imeisha. Hapana. Ukiwa haujaupdate bado tu utazuiw kukaa kwenye benchi
Mkuu kwan ulisikia wapi kuwa atakaa mpaka hiyo siku wakikutana coast na simba. Hiyo ni dharura tu na inawezekana hata wiki mbili zisifike simba wakapata kocha na mgunda atarudi kwao coast kama kawaida.
Kwa mfano leo nabi akachukuliwa na simba na simba akaja kukutana na yanga kutuakuwa na shida...
Mkuu nikurekebishe kidogo hapo. Sheria ya wachezaji wa kigeni ni 12 na yanga ilishapeleka majina TFF na wachezaji wakapewa lessen ambazo ndyo zinapelekwa CAF na wakapeleka.
Inshu inakuja ameshajiliwa kisinda dakika za mwsho na YANGA wakaomba litolewe jina la kambole liwekwe jina la kisinda na...
Hapo inshu ilivyo inategemea na tmu zilizoshiriki kwa msimu huo. Kama msimu huu timu zipo 58. Wametoa tmu 6 zitakakazoanza hatua ya pili na zinabaki timu 52 zitakazoanza hatua ya awali.
baada ya mchujo huo wa awali zitabaki timu 26 ambazo zitaungana na zile timu 6 jumla zitakuwa timu 32 na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.